Jenga hoja zenye mshiko.Acha kudhihaki watu.Umewaona Udom tu?,mipango;St John na CBE nao walienda kumshawishi EL kama Jk alivyoagiza akiwa Songea.
Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Kinavhofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anawezakuondolewa," alisema Nape.
We jidanganye hujui ya ndani mrema hakua chochote kumlilinganisha na Lowassa huyu amepenya kwenye system zote ambazo ccm wakichemsha kumkata jina wamekwenda na maji unajua hella mrema ambaye hata jeshini walikua hawamjuiKuna wakati Mrema alijiona atakuwa raisi baada ya Mzee Mwinyi kumaliza muda wake,na hata alipohamia chama kipya NCCR Mageuzi alibebwa na hata gari lake lilisukumwa kila sehemu aliyokuwa naenda kuhutubia,mikutano ikajaa nyomi na Mrema akajidanganya kuwa atauchukua uraisi,na sote tunajua yaliyotokea .Tusubiri tsunami itakavyowapata wale wanaojiona wana miliki ya kuwa raisi hadi wanajidanganya wenyewe.Hayo mabilioni ya watu sijui yatafidiwa na nini.
We jidanganye hujui ya ndani mrema hakua chochote kumlilinganisha na Lowassa huyu amepenya kwenye system zote ambazo ccm wakichemsha kumkata jina wamekwenda na maji unajua hella mrema ambaye hata jeshini walikua hawamjui
Vuvula
Lowassa asipogombea ccm,wemekwisha.
Hakuna Presidential candidate ccm anayemkaribia Lowassa hata kwa mbali."Quote my words"
Maneno yako yanaukweli lakini Lowassa hatalipa kisasi amekomaa Mungu akimjalia atawapuuza tuu
Hao walioandika majina yao kwenye mawe na madaraja Dar mpaka Mza mbona hatusikii wakipigwa biti.
Mamvi atawatagisha this time aisee ni diet tosha kwa wapinzani wake.
jifanye mkereketwa wa lowassa chukua watu km ishirini kitaa ita waandishi wa habari andaa mabango fanya maandamano mpka kwa lowassa soma risala ya kumtaka agombee piga msosi sepa!
Jamii forums na nyie mnaenda lini kumshawishi?