bila ya kumsahau mbunge anayewakilisha matusi bungeni aka cha matusi , muuza bucha mstaafu [h=3]lusinde joseph livingstone[/h]
[h=3][/h]
Nnatumai Nape anao ushahidi wa anayoyasema na kutuhumu watu. Kwamba watu wanaoenda dodoma wamelipwa na nani, kwa njia zipi na kwa sababu gani, la sivyo atakiaibisha chama kwa mara nyengine tena! Wananchi wameamua....acheni uzushi na uongo. Kwa nini mnawadhalilisha wananchi kiasi hiki? Waache kazi zao kwa kulipwa na kupewa chakula? Hivi wote walioonekana huko hawawezi kujinunulia chakula? Tena tunawaingiza mpaka viongozi wetu wa dini; maimamu na wachungaji!
Nnaungana na mtu wa Mungu mmoja aliyemtaka aokoke.....atubu na aokoke!!
Hapachimbiki bali atachimbika kwani ukwasi anaopoteza kwa kupewa bichwa na wachumia tumbo kiharusi kinamnyemelea hilo likitokea!Huyu jamaa asipopitishwa kuwa mgombea, patachimbika.
Mkuu tpaul unadhani laigwanan atatinga Magogoni? Asilani! Kila kukicha anafurunda kwa kampeni zake.
Ni kweli mkwere anaweza kukuuwa huku anatabasamu lakini cha kujiuliza huyu mzee mamvi hayajui yote hayo? Je hamjui rafikiye? Je haogopi kuenguliwa? Au hiki kibri anakipata wapi maana kapewa onyo lakini hajali what is he up to?
Mbona mnatishia chama kikongwe barani Africa na chenye azina kubwa ya wagombea? Mtu nmoja anaweza kuua taasisi kama ccm?
Hammtaki lakini fedha zake mnazitakawewe ishia hapo hapo ACT hatumtaki labda ajaribu chadema msituambukize ugonjwa sisi wazalendo.
Mahakama ya nini wakati chama chako hakitambui mahakamaMie nasema hivi mkuu tpaul, mamvi hataingia magogoni. Ila nasema hata kama kiongozi atatoka UKAWA basi Makonda atafute pa kujificha kwani bado ana ile kesi ya shambulio la kudhuru mwili dhidi ya Warioba. Kesi ya jinai haina hitimisho zaidi ya mahakama