Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Kesho ni zamu yangu mimi na mke wangu kwenda dodoma kumshawishi edo kuchukua fomu. Nape a.k.a nepi unyamae wewe sio saizi yetu.
 
Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
Na sisi tutamtandika JK kwenye sanduku la kura October kama mbwai iwe mbwai tumechoka
 
Mara ya kwanza wakati watu wanamsema huyu mtu aitwaye NAPE MOSES NNAUYE nilijua ni fitina za kisiasa,lakin mwaka jana wakati akiwa katika ziara mkoa wa kigoma ndio niligundua kwamba ana matatizo ya malezi na uelewa mdogo na ni mtu anayependa kuabudiwa.

Alikuwa anawashurutisha watu kama watoto wadogo,ashukiriwe mzee kinana ana hekima,anaweka mambo sawa kila mara hali inapochafuka,Mwaka 2005 wakati kikwete akijiandaa kuwania urais alisema nchi haiwezi kuongozwa na shoga,leo ndio Rais,

Akwawekwa pemben akapigika mpaka huruma,wazee wakamuombea msamaha akpewa udc masasi baadae katibu mwenezi,leo amesahau anatamba,anaringa,anajishebedua.

Nape hiki chama sio chako,Nape huwezi kuwachagulia watanzania wa leo rais,nape huwezi kuzuia mtu anayependwa asipendwe,waache watanzania waaamue ubwabwaje kama nguchiro wa Mtwara.

Nape mtu akipewa kapewa maana mtoaji ni Mungu sio wewe,usiishi kwa hofu,kwa hisia,na mitazamo hasi,onesha uwezo katika kukijenga chama,tatua shida za watanzania,wambie watanzania ukweli kwa wanahitaji rais wa aina gani hawahitaji mdundiko kwa sasa bali maamuzi mgumu,vitendo na uwajibikaji na uzalendo wa kweli.

Nape acha kufukia hisia za watanzania,tuachie musa wetu atuvushe kwenda kanani,mwache mwanaume aoneshe uwezo,ipo siku nape utapigwa mawe,ila ushauri wa bure jifunze hekima,busara,ustarabu na kutafatari kabla ya kutamka,bila shaka sifa ya kijana mwenye weledi tanzania itakuwa nyuma yako,utaheshimika na kuthaminiwa.

LIFE IS PERFORMANCE,PERFORM BY ACTING WISELY
 
Ikitokea EL apitishwe kuwa mgombea na of course baadae kuwa mwenyekiti wa CCM, sijui Nape atafanya nini. Mimi nadhani ataenda kwa kile chama walichokianzisha huko nyuma. Hivi kilikuwa kinaitwaje?
 
Na shangaa anyempiga vijembe vyote keshokutwa anakuwa Mwenyekiti wa Chama
 
Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.

Yaani kama EL alishawahi kukosea hapa ndo kazidisha kama watu wanatoka kwenye kumshawishi agombee na wanaulizwa wanasema "mi nilibebwa wala sikujua kama naenda kwake"huyu jamaa yenu mshaulini asije kufa kwa kiholo kwani hata kama ni timing ndo hivyo? Utoti na ujingi uliokithili nadhani wafuasi wake wanasukumwa na njaa zaidi kuliko ubainadamu. Hivi Watanzani tuko zaidi ya mil.45 wamekosekana watu wenye sifa zaidi ya Lowassa,Membe,Sumaye mpaka tunalazimisha wao tu?
 
Pamoja na kwamba fisadi Lowassa hawezi kuwa Rais wa nchi hii Nakubaliana na wewe nape ni mropokaji na kauli zake zinamponza yeye mwenyewe na chama chake.Kwa mfano kauli zake kwamba CHADEMA ni chama cha wachaga zimemtokea puani baada ya wananchi wa Kilimanjaro kususa mikutano yake na kinana ndiyo maana haweki humu picha kama ilivyokuwa Dodoma na Arusha.
 
Lowassa angekuwa mwelewa angeachana na maigizo anaofanya kwani nisawa na kupiga mashut makubwa ambayo ayana magoli
 
MBONA LOWASA NI KM MBUZI WA SIKUKUU. UPINZANI WALA HATUMSEMI VIBAYA ILI CCM WAMSIMAMISHE NA I SWEAR CCM HAWATOAMINI MACHO YAO KWA KICHAPO TUTAKACHOMPA FISADI Uyu..

Mkuu ila CCM wakimfukuza akisimama kwa UKAWA lazima mumpigie kura
 
Ni mwiko kutembelewa? Tunakwenda wenyewe hatushurutishwi na yeyote ni mapenzi yetu wwnyewe kumtembelea shujaa huyu tunampenda tunamwamini / kiutaratibu bado hajatangaza nia wivu na choyo vya nini? / TUKO KATIKA KUMUOMBA AJARIBU KUTUSIKILIZA SISI WANANCHI WANYONGE YA KWAMBA ASICHE KUCHUKUA FOMU / WAGOMBEA WENGINE WA NAFASI HIYO WAACHE WIVU, WATANZANIA TUMEONA NA MAKARATASI YA UONGO TUMEYAONA ETI SISI WANANCHI TUMEPANGWA LA HASHA WAPINZANI WA #ENL MTAPATA SHIDA SANA MWAKA HUU/wasalaamu!
 
Back
Top Bottom