ha ha ha
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 638
- 84
Nape,
Wakati naanza kukufahamu nilijua ni kijana ambaye siasa zako zingejinadi zenyewe bila nguvu ya ziada. Nikaamini pia hata viongozi mashuhuri na mafisadi wameanza kuhofia baadae yako. Ndio, kulikuwa na sura ya kipaji, wengi watakiri hivyo. Hofu ya viongozi na mafisadi ndio iliyofanya wakupe hicho walichokupa sasa na kukupa "majukumu chuki". Wao wanafahamu ya kuwa mtaji wa kisiasa ni zaidi ya pesa. Na walifahamu kuwa wasipokupa majukumu ovyo, tena yanayokuaribia mwisho watoto wao ambao ndio warithi watapata upinzani. Mi nadhani unajidhoofisha bila kujua. Unahitaji kujisafisha sana, kurudisha imani kwa watanzania. Acha hawa wazee wapite.
Mwisho, nimeamini cheo ulevi! kila kitu wewe ni jazba, hujengi hoja, angalia ulivojibu hoja hapo juu. We ni kiongozi kijana, safari bado ni ndefu, tafakari-chukua hatua!
Wakati naanza kukufahamu nilijua ni kijana ambaye siasa zako zingejinadi zenyewe bila nguvu ya ziada. Nikaamini pia hata viongozi mashuhuri na mafisadi wameanza kuhofia baadae yako. Ndio, kulikuwa na sura ya kipaji, wengi watakiri hivyo. Hofu ya viongozi na mafisadi ndio iliyofanya wakupe hicho walichokupa sasa na kukupa "majukumu chuki". Wao wanafahamu ya kuwa mtaji wa kisiasa ni zaidi ya pesa. Na walifahamu kuwa wasipokupa majukumu ovyo, tena yanayokuaribia mwisho watoto wao ambao ndio warithi watapata upinzani. Mi nadhani unajidhoofisha bila kujua. Unahitaji kujisafisha sana, kurudisha imani kwa watanzania. Acha hawa wazee wapite.
Mwisho, nimeamini cheo ulevi! kila kitu wewe ni jazba, hujengi hoja, angalia ulivojibu hoja hapo juu. We ni kiongozi kijana, safari bado ni ndefu, tafakari-chukua hatua!
Nova,
Kwamba naimba wimbo wa mtu, kwanza afadhali umepiga hatua wewe na mafisadi waliokutuma kusema ni wimbo wa Kikwete very soon, nasema very soon MTAKIRI KUMBE NI WIMBO WA CHAMA AMBACHO MIE NDIO MSEMAJI WAKE....
Mlipoanza mlisema kuwa ni wimbo wa Nape na Chiligati, kwa hiyo hatua uliofikia wewe na wenzako na hasa baada ya kuambiwa Mwanza tuliamua kwenye kikao, ni nzuri sana maana hata shule unaanza darasa la kwanza then unaendelea, kazana ukikua utasema vizuri na kwa usahihi zaidi.