STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Nafikiri watanzania tumeona jinsi huyu Lihanjo alivyo gamba lingine ndani ya CCM, kwa jinsi bunge lilivyomtuhumu toka wizara ya Maliasili na utalii hadi sasa kwenye sakata la nishati na madini inatosha kabisa kuwa ushahidi kwa huyu mzee kujivua Gamba ndani ya CCM.
Nashangaa Nape yuko kimya sana mara baada ya Mkutano wa CC huko dodoma majuzi au tayari naye kashakuwa sehemu ya Gamba?
Ila nachojua waTZ wanaukweli ni nani anasema ukweli, we have to be serious
Nashangaa Nape yuko kimya sana mara baada ya Mkutano wa CC huko dodoma majuzi au tayari naye kashakuwa sehemu ya Gamba?
Ila nachojua waTZ wanaukweli ni nani anasema ukweli, we have to be serious