Sasa hivi kibao kimebadilika, Nape kasema magamba si mafisadi bali wanaokiuta maadili ya chama. Goodbye Mr Six.
Maamuzi mazito jamani ni kutenganisha kofia ya rais na mwenyekiti wa chama.
Maamuzi mazito jamani ni kutenganisha kofia ya rais na mwenyekiti wa chama.
Inategemea mwenyekiti unamuweka nani! Kwa mfano wanatenganisha kofia hizo Rais ni JK na mwenyekiti anakuwa EL!Maamuzi mazito jamani ni kutenganisha kofia ya rais na mwenyekiti wa chama.
vip ACHEBE mbona hajachangia?