Huyu jamaa ni majungu tu na kejeli ndo anaziwezeaNape tangu upewe hiyo nafasi ya Ukatibu mwenezi, sijakusikia ukiongelea hoja za msingi za kuwaletea Watanzania Maendeleo na kuwatoa katika janga la Umasikini, zaidi wewe na chama sijui kitafanya nini kujiimarisha, sijui kujisafisha kwani haujui chama chako ni kichafu tena kinanuka.
Nakuomba uongee mambo ya msingi Watanzania tunapigika tumechoka kusikia kila wakati kukisifia chama chako, hatukatai ila tunataka maendeleo kwa hii nchi.
mkuu 6 na NEPI+MWAKYEMBE = CCJ. Kauli yoyote ya Nape inaakisi ya bosi wake mzee 6.Labda ndo wameamua kufanya maamuzi magumu baada ya kumsikia Sitta kwenye ITV jana
mwanafunzi amemgeuka mwalimu?Sasa hivi kibao kimebadilika, Nape kasema magamba si mafisadi bali wanaokiuta maadili ya chama. Goodbye Mr Six.