Nape hoi hospitali, kalazwa

Nape hoi hospitali, kalazwa

Status
Not open for further replies.
pole msemakweli wa ccm mungu atakuwezesha na wewe uende india ukachunguzwe nini zaidi..
 
Katibu mwenezi wa ccm ameshndwa kuhudhuria kwenye kesi inayomkabili kwa kuingilia UHURU WA MAHAKAMA, inasemekana ameugua ghafla na amelazwa MIKOCHENI

SOSI: MWANANCH
 
ugua poale na hii thread mbona imejirudia maana juzi ilikuwepo au ulifutwa..
 
Anxiety! Kihoro cha kupanda kizimbani kimemkamata! Pole yake jamani! Hope hatakufa mpaka aone magamba yakipapatukia mbali ktk nchi hii!
 
"Wakili Nsemwa aliimbia Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, mbele ya Jaji Aloyce Mujulizi kwamba wakati akipatwa na ugonjwa ghafla, Nnauye alikuwa tayari amekata tiketi ya ndege ambayo ingeondoka Dar es Salaam saa 12:00 jioni na kuwasili Arusha saa 1:30 usiku.

Hata hivyo, Wakali Nsemwa aliiomba Mahakama hiyo kupokea hati ya kutibiwa kwa Nnauye na tiketi aliyokata akisema atakuwa tayari kupokea maelekezo mengine ya mahakama hasa ikizingatiwa kwamba suala hilo ni la kibinadamu."
Mwisho wa kunukuu.
 
Sio zile sarakasi zao kweli hizi? Nina wasiwasi
 
Anadhani akiugua ndio kesi ndio imeisha? Ye asubiri kuuliwa 'GAMBA' mahakamani.
 
Nakutakia kila la kheri mkuu. Mungu awe nawe.
 
Katibu mwenezi wa ccm ameshndwa kuhudhuria kwenye kesi inayomkabili kwa kuingilia UHURU WA MAHAKAMA,inasemekana ameugua ghafla na amelazwa MIKOCHENI
SOSI:MWANANCH

Hawajafikiria kumpeleka india?
Akaungane na mwakyembe na mwandosya?
 
Yaani hicho kikesi kidogo ndo kinamtia homa, je angekuwa upinzani angeuweza muziki huyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom