N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Bah pole jomba
Updates ziko wapi? Mbona kimya?
Na binadamu pia!!!UGUA POLE...! THO SIMPENDI...at the end of the day we are all TANZANIANS!
nape aijenge tanzania ipi jamani acheni utani huo!Ugua pole Nape Mungu akuponye haraka urejee kwenye majukumu yako ya kila siku na hasa kuijenga Tz tuitakayo
Nape hatima ya Muungano kesho
Nape alikuwepo jana kwenye ile thread ya kuhusu kutokanyaga Arusha.Kuna tetesi kutka Lumumba kuwa vuvuzela la CCM Nape Nnauye kalazwa hoi akiumwa ugonjwa kama wa Kamanda Zito(kichwa) . Sijafanikiwa kupata Hospitali aliyolazwa, nikipata soon ntawajuza. Aliyekuwa akinijuza kastuka na kuishia njiani.
But je ni mwendelezo wa adhabu ya Rais EL kwa wabaya wake????
============
UPDATED
============
Hizi habari zina ukweli gani?
....na Mungu ampende zaidi!