TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Anzeeshwa na shangingi lile, linamwendesha litakavyo, ndo maana wanaiba pesa za cdm kila kukicha.....uwezo wa kumkuna yule shangingi hana anachofanya sasa ni kumridhisha kwa pesa halafu kuna chalii kitaa anamsaidia kukuna.... Bhana we! Kwanini asizeeke kwa kasi....chezea sukari weweeeeee
Mkuu unashangaa? Mbona wako wengi huko? Huyo wanayem quote mwenyewe (Nape)unamwonaje? Unahitaji moyo wa chuma kumkiri kuwa ni kiongoziKwa hiyo hayo ndo maneno ya great thinkers toka ccm? Kaaaaaaazi kwelikweli.
Kuna thread ililetwa hapa jana usiku siioni tena
Hivi kuna mantiki gani kusema kuwa CDM imeshindwa wakati ilikuwa inatetea viti 2 na kuibuka na viti 5?! Kwa takwimu hizo cdm imeshindwa au imeshinda! Huyu Nape anatumia hesabu gani na ni kigezo gani cha kumwambia Dr. Slaa ajiuzuru? au anamnyima usingizi!
Anzeeshwa na shangingi lile, linamwendesha litakavyo, ndo maana wanaiba pesa za cdm kila kukicha.....uwezo wa kumkuna yule shangingi hana anachofanya sasa ni kumridhisha kwa pesa halafu kuna chalii kitaa anamsaidia kukuna.... Bhana we! Kwanini asizeeke kwa kasi....chezea sukari weweeeeee[/QUO
mawazo mazuri ya great thinker
Hivi
kuna mantiki gani
kusema kuwa CDM imeshindwa wakati ilikuwa inatetea viti 2 na kuibuka na
viti 5?! Kwa takwimu hizo cdm imeshindwa au imeshinda! Huyu Nape
anatumia hesabu gani na ni kigezo gani cha kumwambia Dr. Slaa ajiuzuru?
au anamnyima usingizi!
Inahitaji akili ya mwendawazimu kukubali kuongozwa na Dr. Slaa.........bingwa wa kudanganya....kamkimbia mpaka Mungu itakuwa binadamu???
U