Kama hakuna ukweli mwingine hakuna anayepotoshwa

Kama hakuna ukweli mwingine hakuna anayepotoshwa

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,827
Reaction score
50,499
CCM Kila siku huishambulia CHADEMA kuwa inapotosha watanzania. Lakini CCM haisemi ukweli ni upi dhidi ya huo wanaouona ni upotoshaji wa CHADEMA.

Kama kinachosemwa na CHADEMA ni upotoshaji na CCM haina ukweli dhidi ya hicho kinachosemwa, basi CHADEMA haifanyi upotoshaji.

Uongo hupingwa kwa ukweli na kama hakuna ukweli dhidi ya uongo, basi huo unaosemwa kuwa ni uongo, NDIYO UKWELI WENYEWE.
 
Sasa, hao mazuzu wa CCM wanadhani wakiwaambia tu watu kwamba fulani kasema "uongo" basi wamemaliza.Hawajishughulishi zaidi kutoa hoja na maelezo ya kina.Refer;Tamko la msemaji wa serikali kuhusu CCM kuingilia uchaguzi wa Zambia.
 
Juzi Katambi alikuwa anawadanganya Zanzibar kwamba Katiba Mpya ni wazo la Awamu ya Kikwete.......!!!?
CCM imeshagota kabisa...wanaendesha Nchi kwa Uongo na ghiriba....! Hivi kuna asiye jua shinikizo la Katiba Mpya lilikuwa linasukumwa na kupigiwa kelele na akina nani mpaka JK akaanzisha Mchakato??!
 
CCM Kila siku huishambulia CHADEMA kuwa inapotosha watanzania. Lakini CCM haisemi ukweli ni upi dhidi ya huo wanaouona ni upotoshaji wa CHADEMA.

Kama kinachosemwa na CHADEMA ni upotoshaji na CCM haina ukweli dhidi ya hicho kinachosemwa, basi CHADEMA haifanyi upotoshaji.

Uongo hupingwa kwa ukweli na kama hakuna ukweli dhidi ya uongo, basi huo unaosemwa kuwa ni uongo, NDIYO UKWELI WENYEWE.
Kama hutaki aende njia ya kushoto,tengeneza njia ya kulia ili apite huko, vinginevyo bado atapita kushoto.

CCM ni shetani, ni baba wa uongo.
 
CCM Kila siku huishambulia CHADEMA kuwa inapotosha watanzania. Lakini CCM haisemi ukweli ni upi dhidi ya huo wanaouona ni upotoshaji wa CHADEMA.

Kama kinachosemwa na CHADEMA ni upotoshaji na CCM haina ukweli dhidi ya hicho kinachosemwa, basi CHADEMA haifanyi upotoshaji.

Uongo hupingwa kwa ukweli na kama hakuna ukweli dhidi ya uongo, basi huo unaosemwa kuwa ni uongo, NDIYO UKWELI WENYEWE.
Hapo chacha
 
CCM Kila siku huishambulia CHADEMA kuwa inapotosha watanzania. Lakini CCM haisemi ukweli ni upi dhidi ya huo wanaouona ni upotoshaji wa CHADEMA.

Kama kinachosemwa na CHADEMA ni upotoshaji na CCM haina ukweli dhidi ya hicho kinachosemwa, basi CHADEMA haifanyi upotoshaji.

Uongo hupingwa kwa ukweli na kama hakuna ukweli dhidi ya uongo, basi huo unaosemwa kuwa ni uongo, NDIYO UKWELI WENYEWE.
Hilo genge la wahalifu nani analisikiliza
 
CCM Kila siku huishambulia CHADEMA kuwa inapotosha watanzania. Lakini CCM haisemi ukweli ni upi dhidi ya huo wanaouona ni upotoshaji wa CHADEMA.

Kama kinachosemwa na CHADEMA ni upotoshaji na CCM haina ukweli dhidi ya hicho kinachosemwa, basi CHADEMA haifanyi upotoshaji.

Uongo hupingwa kwa ukweli na kama hakuna ukweli dhidi ya uongo, basi huo unaosemwa kuwa ni uongo, NDIYO UKWELI WENYEWE.
Gentleman,
binafsi na pengine na wadau wengi zaidi wa JF tunaijua chadema kama kikundi cha kutukana na kuporomosha matusi hasa humu jukwaani dhidi ya wote wenye maoni tofauti na yao kuhusu mambo mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.

otherwise,
labda ueleze kwa kina kirefu kidogo hiyo porojo yako na itapendeza 🐒
 
Gentleman,
binafsi na pengine na wadau wengi zaidi wa JF tunaijua chadema kama kikundi cha kutukana na kuporomosha matusi hasa humu jukwaani dhidi ya wote wenye maoni tofauti na yao kuhusu mambo mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.

otherwise,
labda ueleze kwa kina kirefu kidogo hiyo porojo yako na itapendeza 🐒
Kwako mkata viuno wa lumumba buku7fc
 
Back
Top Bottom