Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!
Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!
Source: Gazeti la Mtanzania
Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!
Source: Gazeti la Mtanzania