Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

sokoinei

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,832
Reaction score
566
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania
 
Huyu jamaa hawezi kulala bila kutaja CHADEMA! Kweli NAPE ana matatizo. Unawezaje kutenganisha siasa na Harakati za Ukombozi?
 
siyo kils mavi lazima myalete humu..
Labda hujitambui Ndugu, Nadhani huna tofauti na huyu VUVUZELA NAPE, asietaka kuona CDM ikiendeleza siasa za Kiuwarakati!!
Wewe pia hutaki watu Walete Topic kama hizi ktk Jukwaa hili,kwa sababu ya Ufinyu wako wa Kufikiri kuwa Mdogo! Hili ni Jukwaa la Siasa, sasa unataka tulete Maswala ya Mapenzi huku!?
Kabla ya Kukoment ulitakiwa Utafakari kwanza, usipende Kukurupuka kama NAPE! Kila mtu ana haki na Uhuru kuripoti jambo lolote humu, Ilimradi ni jambo la kweli na lenye uwezekano wa Kujadilika!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Nape, soon you will realize that CHADEMA is more powefull than your CCM,and I think you should learn how to be opposition party before it is too late.Just learn from KANU and prepare yourself
 
Huyu jamaa si ndo alipata F ya CIVICS? kama ndo yeye muacheni tu make ubongo wake ni sawa na wa Konokono, yaani uko slow vibaya mno
 
Nape Nnauye katibu wa sera na uenezi CCM.
anafanya majukumu ya kazi yake. lazima asemeseme hayo hata kama anajua ni uongo.ni kazi yake
 
Huyu jamaa si ndo alipata F ya CIVICS? kama ndo yeye muacheni tu make ubongo wake ni sawa na wa Konokono, yaani uko slow vibaya mno

Samahani mie nilikuwa nimempandisha kumbe ni F wala si D du!!
 
Ushauri kwa Nape na wenzake.
Kama CHADEMA wameishiwa sera, wamefilisika kisiasa, hawana mvuto kwa umma, au jingine linalofanana na hayo; then anatakiwa kushangilia na kisha atulie sasa kwa kuwa kazi yake imeshakuwa nyepesi. CCM wote watulie majumbani kwao kwakuwa mshindani wao wa karibu (CHADEMA) kachemsha. Kelele za nini? Tangu lini CCM akawa mshauri wa CHADEMA eti kwa lengo la kuiboresha na kuitakia mema? Naungana na Ndugu Crashwise hapo juu kwamba sio kila asemacho huyu dogo mnakileta humu as a burning issue, mnatujazia saver bure!
 
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!
Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania

Mmmh mwenye mawazo finyu ataliona hilo
 
Au kama vipi atoe namba yake ya mtihani tufuatilie wenyewe
Hivi matokeo ya Nape ndio yatawaingiza ikulu? Mnaingizwa choo cha kike na nyie mnafata, leteni sera zenu sio kufata mziki wa Nape.
 
Tunajua nape ni kichaa sasa wewe unaoleta thread hii tunakuona kichaa kuliko nape.........weka hoja achana na huyu chizi
 
Back
Top Bottom