Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Ipo siku CCM watakujajilaumu kwa kumpa mtu kama NAPE cheo kama hiki
 
Tatizo lenu CDM hamtaki kuambiwa ukweli
Ukweli upi? Ukweli huu mbona haelezwo CUF wala NCCR mageuzi?
Kelele hizi na Nape ni dalili ya maumivu fulani otherwise angetulia na kustarehe kwani mambo ni mteremko!!!!!!!!!!!!
 
[FONT=courier
new]Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE,
amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika
kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!
[/FONT]
Source: Gazeti la Mtanzania

Kabla ya kuongelea mambo ya chadema, mambo yasiyomuhusu, je, ameshaenda kumtafuta baba yake? kama amempata, je ni nani, kama bado ni kwa nini? Kuwa mtoto wa haramu ni tatizo kubwa...
 
Tangu lini mtu mnayetofautiana kiitikadi akakupa ushauri?
Nahum Nnauye umepanic.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu jamaa hawezi kulala bila kutaja CHADEMA! Kweli NAPE ana matatizo. Unawezaje kutenganisha siasa na Harakati za Ukombozi?
Ni lazima aitaje kwani kwa kufanya hivyo tu anaipaisha na anakuwa kesha fanya mkutano wa kuinadi CDM bila kujijua.
 
Aende zake huyo Mtoto wa Mwandosya kila siku anaiota CDM shauri yake.Kwa nini asiitaje CCJ?
 
Kuna asiyejua kuwa nape ni bong lala?Siasa zooote ni harakati.Naomba muelimisheni Nape maana ya harakati na kama ikiwezekana mpuuzieni ni kama an mtindio wa ubongo
 
Nape hana akili hata ya kuvusha watoto barabara nashanga hayo magazeti yanayoandika habari zake.
 
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na
Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania

Huyu sijui busara yake ikoje:

Activism(uanaharakati)- The use of direct, often confrontational action, such as a demonstration or strike, in opposition to or support of a cause.

Sidhani hata kama anamjua Dr Martin Luther King Jr ni nani na alikuwa anafanya nini
 
Co nape ni NAHUM NAUYE,ALIIBA JINA LA MTOTO WA MASKINI AITWAYE NAPE NAUYE! 4m 4 div.4 ya 29,akaenda kurudia , akaenda dip.Akadisco,then akaenda india na cheti cha 4m 4 cha 29,xo jamaa angefanya mtihani 2o12 angekuwa wale waliokunywa sumu,
 
Nipe niule form 4 felias!, ccm wenyewe wanajua kuwa nahum nauye ana sifuri darasa la 7,div 4 4m4.Disco diploma, cjui hyo masters alipewa na ccm au nani! Na ndo mana wanam teua kwasababu hawezi kuchaguliwa na wätu,
 
Co nape ni NAHUM NAUYE,ALIIBA JINA LA MTOTO WA MASKINI AITWAYE NAPE NAUYE! 4m 4 div.4 ya 29,akaenda kurudia , akaenda dip.Akadisco,then akaenda india na cheti cha 4m 4 cha 29,xo jamaa angefanya mtihani 2o12 angekuwa wale waliokunywa sumu,
 
Hizi propaganda wakati mwingine unaonekana ni mjinga kumbe ni mpumbavu.
 
Ila huyu jamaa anapotamka kitu moyo wangu unapata kichefuchefu sana, hivi anaweza kuwa kiawango cha kuishuri Cdm juu yautendaji kazi wake? nafikiri ana pepo tulikemee lishindwe!
 
hivi wewe nape huwezi kulala bila kuisakama chadema hao ndiyo watarajiwa wa kuchukua nchi mwaka 2015
 
Mtatokwa sana na mapovu, Nape! Nape!......! Alopewa kapewa tu! mtaishia hivyo hivyo na matusi yenu mara ana 4 ya 29.. wewe mwenye 1 umefanya nini?
Wa mbili avai mmoja.
 
Huyu jamaa si ndo alipata F ya CIVICS? kama ndo yeye muacheni tu make ubongo wake ni sawa na wa Konokono, yaani uko slow vibaya mno
Tena ni pentium 1 maana uki click shida za wananchi jibu inalokupa bado chadema chadema kila saa hana fikra mpya zaidi ya kuiwaza chadema.....na bado lazima mtoke nduki madhulumati wakubwa nyie!!!!
 
Back
Top Bottom