Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

kinachotakiwa hapa ni mabadiliko tu, kama wewe na chama chako ccm kungekuwa na sera safi tusingefika hapa tulipo kwa Nchi kuwa maskini kiasi hiki, ujinga kuongezeka, Afya ndiyo kabisa ni mgogoro.
kwanini sisi wananchi tusihitaji mabadiliko ya uongozi mwingine! kwani ccm iliumbwa kutawala milele?
 
siyo kils mavi lazima myalete humu..

nape ---- tu kwanza yupo CCM kwa maslahi yake binafsi kumbuka kabla hajapewa hiki kijicheo hakuwa na mahusiano mazuri na mtoto wa mkuu ili asimzibie kijana ulaji tukamchapa kitengo walewale
 
hivi uyu nepi kuna cku itapita asiitaje chadema? unajua ukiona demu anakutajataja jua anakuluv hivyo kazi kwako kumto.m.ba.

Acha matusi jamvini, jadili hoja sio matusi, na wewe unayeunga mkono sijui akili yako ikoje????
 
Back
Top Bottom