Paul Ndugulile
Member
- Jul 15, 2012
- 22
- 2
kinachotakiwa hapa ni mabadiliko tu, kama wewe na chama chako ccm kungekuwa na sera safi tusingefika hapa tulipo kwa Nchi kuwa maskini kiasi hiki, ujinga kuongezeka, Afya ndiyo kabisa ni mgogoro.
kwanini sisi wananchi tusihitaji mabadiliko ya uongozi mwingine! kwani ccm iliumbwa kutawala milele?
kwanini sisi wananchi tusihitaji mabadiliko ya uongozi mwingine! kwani ccm iliumbwa kutawala milele?