Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Ushauri kwa Nape na wenzake.
Kama CHADEMA wameishiwa sera, wamefilisika kisiasa, hawana mvuto kwa
umma, au jingine linalofanana na hayo; then anatakiwa kushangilia na
kisha atulie sasa kwa kuwa kazi yake imeshakuwa nyepesi. CCM wote
watulie majumbani kwao kwakuwa mshindani wao wa karibu (CHADEMA)
kachemsha. Kelele za nini? Tangu lini CCM akawa mshauri wa CHADEMA eti
kwa lengo la kuiboresha na kuitakia mema? Naungana na Ndugu
Crashwise hapo juu kwamba sio kila asemacho huyu dogo mnakileta
humu as a burning issue, mnatujazia saver bure!

magamba hawana la kutuambia ss makamanda.
 
Nape anajua kuchezea akili za vijana wa CCM( Ngombale, makamba, msekwa, makinda')
 
Huyu jamaa hawezi kulala bila kutaja CHADEMA! Kweli NAPE ana matatizo. Unawezaje kutenganisha siasa na Harakati za Ukombozi?

Wakati watu wanazungumzia matatizo ya nchi...yeye kakalia CDM this, CDM that...kaaaazi kweli kweli!
 
Akatafute credit ya civics kwanza,hatutaki mtu asiyejua uraia,akili zake hana tofauti na zero za sasa
 
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania

NAPE rejea Historia ya HARAKATI za Ukombozi za Vyama vya ANC- Afrika Kusini, flerimo - Msumbiji, ASP - Zanzibar, TANU - Tanganyika na vingine vingi Barani Afrika vilivyofanya Harakati za Ukombozi na Uhuru. Ukishaelewa vizuri Historia hizo urudi tena urekebishe Kauli yako! CHADEMA ni Chama cha Siasa, kina haki kikatiba kuendesha HARAKATI za Ukombozi dhidi ya Ufisadi, uporaji, dhuluma, unyanyasaji, ukandamizaji na unyamazishaji wa sauti ya umma unaofanywa na Chama Chako cha Magamba. Haki, Usawa na Demokrasia ya Kweli ndiyo mpango mzima. Nape kama ulikuwa hujui, HARAKATI hizi zimeshaanza na zinaendelea mpaka kieleweke.
 
kweli wamefilisika hawana hata wafuasi
attachment.php
 
kweli wamefilisika hawana hata wafuasi
attachment.php

Mbona comment yako na Picha hazina Uhusiano?
Idadi ya hao wananchi kwenye picha inapingana vikali na comment yako! Au kuna kitu unataka kudhihilisha? Sijakusoma bado!
 
Ushauri kwa Nape na wenzake.
Kama CHADEMA wameishiwa sera, wamefilisika kisiasa, hawana mvuto kwa
umma, au jingine linalofanana na hayo; then anatakiwa kushangilia na
kisha atulie sasa kwa kuwa kazi yake imeshakuwa nyepesi. CCM wote
watulie majumbani kwao kwakuwa mshindani wao wa karibu (CHADEMA)
kachemsha. Kelele za nini? Tangu lini CCM akawa mshauri wa CHADEMA eti
kwa lengo la kuiboresha na kuitakia mema? Naungana na Ndugu
Crashwise hapo juu kwamba sio kila asemacho huyu dogo mnakileta
humu as a burning issue, mnatujazia saver bure!

Miye napendekeza habari zozote kuhusu Nape zisiletwe humu,

Jamaa ni msema hovyo, ni kujaza server tu.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama kikubwa aliepata F ya civics.
hapo ndo nawashangaa CCM hawakuona mtu anaefaa wakamchagua Nape?
kauli ya Kolimba imeshatimia, chama kimekosa dira na uelekeo
SIASA BILA HARAKATI NI SIASA?
mandela alianza harakati za ukombozi hata alipokuwa gerezani aliendeleza harakati zake
Martin Luther alikuwa mwanaharaki wa kupinga ubaguzi wa rangi
samora machele na wengineo
 
Wahenga walisema "kila mfamaji haishi kutapa" akistaarabika ataacha
 
Chadema sera zenu za udini na ukanda zitaipa ccm ushindi wa kishindo 2015

hofu ya mtu imejikita kwa kile anachokiamini! Hilo neno unalolitaja hapo la U...... ndilo litakalowamaliza magamba 2015 kwa sababu ndilo wanaloliamini na kulieneza! sasa mkuu wao anakimbia kivuli chake! Huo U... U.... wenu ndiyo unaipeleka nchi kubaya ninyi mafisadi na waporaji wa mali ya umma.
 
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania

Hiyo jana!! wanasikiliza sera hizo hizo!
View attachment 85219
 
TANU ilifanikiwa kumtoa mkoloni kwa njia za harakati zilizokuwa zikipambana dhidi ya sera mbovu za mkoloni.Leo hali imejirudia tena,sera mbovu za afya,elimu,nishati,usimamizi wa rasilimali za nchi na fedha za umma zinahitaji zaidi ya ushindani wa sera baina ya upinzani na chama tawala mfululizo tangia uhuru.kama nilivyojadili elsewhere,a political movement ni tofauti na a political party kimalengo,kimkakati,kiuendeshaji,n.k,na vyote hivi viwili ni halali katika demokrasia ya uliberali.wa kuamua nini kinaweza leta mabadiliko ya haraka na umma,sio ccm au wapinzani wa chadema.CCM mwaka 2010 tulianzisha a movement ya kutafuta kura za vijana,kina mama n.k yenye kulenga kukipatia chama a new image nje ya uchwara wa uvccm na ilikuwa ni kabla hata ya ujio wa M4C lakini wakubwa wakadhania ni wajuaji na kuhakikisha movement husika haifanikiwi kumbe ni malimbukeni.

CCM needs a political movement to stir interest ya vijana na siasa,uvccm,uwt hazina maana tena kwa chama nje ya chaguzi za ndani za ccm.orientation ya movement ni a cause,na hivyo ndivyo mabadiliko ya kweli hujitokeza.sera ni matokeo.
 
Back
Top Bottom