Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Nape: CHADEMA yafilisika Kisera

Huyu jamaa hawezi kulala bila kutaja CHADEMA! Kweli NAPE ana matatizo. Unawezaje kutenganisha siasa na Harakati za Ukombozi?

Ndio ujinga waliolishwa na shemeji yao Absalom Kibanda!

Mkuu isikupe taabu sana, ikiwa Jerry Silaa alisema yeye anapanda kwenye chama kwa kuitukana CHADEMA unategemea nini? tutegemee pumba nyingi sana toka kwa hawa ma CCM!
 
Ushauri kwa CDM unatolewa na Nape...............?!!!!
 
atuwekee matokeo yake hapa ya o'level & advance tuutathimini upeo wake wa kupambanua mambo.
vinginevyo enzi za mwana falsafa Plato huyu jamaa alistahili kuwa "Iron boy" mtu wa kazi ngumu zisizohitaji fikra kubwa ya akili kutokana na IQ yake kuwa ndogo.
Nahisi huyu ana hisa ya akili (IQ) kuanzia 0-20 na dhahiri kuwa atakuwa ni profound mentally retarded kwa sababu ya hoja zake hizo.
Eti leo hii ni mwanasisa mkubwa nchini tena mwenye dhamana ya kuongoza nchi!!! ama kweli taifa la majuha litaendelea kuwa gizani ktk tasnia zote za kisiasa,elimu,uchumi na kitamaduni mpaka pale tu akili ndogo itakapoacha/itakapokoma kuongoza akili kubwa.
Ona sasa kwa akili zao finyu wameshindwa hata kutatua migogoro midogo midogo ya kidini mpaka imefikia hatua ya watu kutoana nafsi, maisha bora kwa kila mtanzani ndiyo hayo tunayoyaoona ya watu kufa kwa kukosa chakula huko manyara/arusha, umeme ndo huo kama mnavyouona hivi sasa, mfumuko wa bei ndo usiseme na shilling kuendelea kuporomoka thamani dhidi ya dola wakijua fika tuna agiza zaidi bidhaa kutoka nje ambapo humuathir zaidi mlaji wa mwisho ambaye ni mwananchi. Na elimu ndo hiiiiiiiiiyo inapaa kwa kasi ya supersonic ambayo ndo msingi mkubwa wa maarifa kwa wana wa nchi hii ili kuweza kupambana na mazingira yao wanamoishi kwani changamoto zake ni nyingi sana.
Kwa staili ya vingozi wa namna hii tutegemee giza totoro zaidi kwani badala ya kuja na mwarobaini wa matatizo ya watanzania wamebakia kubaka maneno ya wale wanaowaita wanaharakati.
Wewe, wapambe na viongozi wa chama chenu mjikite zaidi ktk kutoa majibu ya namna ya kuwanasua wanyonge waliowengi ambao leo hii wanakosa huduma bora za matibabu kwa hospitali zao kukosa vitendea kazi kama vile t-scan,madawa na hata uhaba wa wauguzi na madaktari vijijini, pia kukosa huduma bora za maji safi na mfano mzuri ni hapo unapoishi jijini tusiende mbali,wananchi wamekuwa wakihangaikia upatikanaji wa maji kiasi cha kufanya hata shughuli nyingine za maendeleo kukwama kwa uhaba huo wa maji.
Tunashuhudia ndani ya karne 21 vizazi vyetu(watoto) waliopo mashuleni wakiendelea kusota kwa kukaa chini bila kuwa na madawati wakati rasilimali pori tunayo au suala hilo nalo mpaka bwana mkubwa wako aende akatembeze bakuli la umatonya ulaya?
Mi nafikiri unataka kuwa mwepesi wa kutoa majawabu kuliko majibu kwa namna hali jinsi ilivyo.
Hao unaowaita wanaharakati wanao pia wajibu wa kulijenga taifa lao japo si kwa mtazamo wewe ungependa.
Nani asiyejua kuwa mtanzania anapaswa kupewa huduma bora za kijamii kutokana na rasilimali zilizopo?
Je ni nani asiyejua kuwa serikali ina wajibika kwa wananchi wake?
Sasa kama mambo yanakwenda ndivyo sivyo nani kapewa mamlaka ya kuyazungumzia?
Kumbe ukiweza kutafakari hayo basi utaweza tambua kuwa ni vema taifa kuwa na watu kwa ajili ya watu.
Wanaharakati wapo ktk kuwatumikia watu na si kama mfanyavyo ninyi kwa kutumikia matumbo yenu na familia zenu huku mkiwaacha raia wa kawaida kufa kwa njaa,kutomudu gharama za maisha na kupata elimu bora yenye sifuri zaidi ya 60% kwa kila mtanzania kwa lengo la ninyi kuja kuwatawala milele.Kwa kuwalisha sumu ya kujua kuwa the sky is the limit!!!!!!
Acha watu waelimishwe Ili wajue mbivu na mbichi.
 
Ushauri kwa Nape na wenzake.
Kama CHADEMA wameishiwa sera, wamefilisika kisiasa, hawana mvuto kwa umma, au jingine linalofanana na hayo; then anatakiwa kushangilia na kisha atulie sasa kwa kuwa kazi yake imeshakuwa nyepesi. CCM wote watulie majumbani kwao kwakuwa mshindani wao wa karibu (CHADEMA) kachemsha. Kelele za nini? Tangu lini CCM akawa mshauri wa CHADEMA eti kwa lengo la kuiboresha na kuitakia mema? Naungana na Ndugu Crashwise hapo juu kwamba sio kila asemacho huyu dogo mnakileta humu as a burning issue, mnatujazia saver bure!

Umenena. Naunga mkono hoja.
 
Tunajua nape ni kichaa sasa wewe unaoleta thread hii tunakuona kichaa kuliko nape.........weka hoja achana na huyu chizi

Mi Nadhani Nape sio kichaa ni Mzima, shida yake ni UVUVUZELA!
Ila wewe SHANGWA FRANCIS,ndie Kichaa au "PUNGUANI".kusema kuwa hii hoja haikufaa kuletwa hapa,Inaonyesha ni kiasi gani baadhi ya Watu kama wewe mnaojiita Wana Chadema, mnampa Nape kichwa Kwa Kuogopa kumwambia Ukweli, anapo Jiropokea! Ulitaka kauli hii aliyoitowa tukaijadili wapi??

Au ulitaka tusilete habari kama hii inayomhusu VUVUZELA NAPE, halafu tulete habari inayomhusu Baba na Mama yako kwamba jana walilala Chumbani tena kitanda kimoja! Kwani wewe hadi umri huu ulionao hukuwahi kujua hayo hadi utake sisi ndio tukuambie ujinga huo!
Akili zingine bwana hazina Akili!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
hivi uyu nepi kuna cku itapita asiitaje chadema? unajua ukiona demu anakutajataja jua anakuluv hivyo kazi kwako kumto.m.ba.
 
Mi Nadhani Nape sio kichaa ni Mzima, shida yake ni UVUVUZELA!
Ila wewe SHANGWA FRANCIS,ndie Kichaa au "PUNGUANI".kusema kuwa hii hoja haikufaa kuletwa hapa,Inaonyesha ni kiasi gani baadhi ya Watu kama wewe mnaojiita Wana Chadema, mnampa Nape kichwa Kwa Kuogopa kumwambia Ukweli, anapo Jiropokea! Ulitaka kauli hii aliyoitowa tukaijadili wapi??

Au ulitaka tusilete habari kama hii inayomhusu VUVUZELA NAPE, halafu tulete habari inayomhusu Baba na Mama yako kwamba jana walilala Chumbani tena kitanda kimoja! Kwani wewe hadi umri huu ulionao hukuwahi kujua hayo hadi utake sisi ndio tukuambie ujinga huo!
Akili zingine bwana hazina Akili!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!

Hahaha faida ya hiyo thread yako kwa jamii na taifa kwa ujumla ni nini hasa
 
Labda hujitambui Ndugu, Nadhani huna tofauti na huyu VUVUZELA NAPE, asietaka kuona CDM ikiendeleza siasa za Kiuwarakati!!
Wewe pia hutaki watu Walete Topic kama hizi ktk Jukwaa hili,kwa sababu ya Ufinyu wako wa Kufikiri kuwa Mdogo! Hili ni Jukwaa la Siasa, sasa unataka tulete Maswala ya Mapenzi huku!?
Kabla ya Kukoment ulitakiwa Utafakari kwanza, usipende Kukurupuka kama NAPE! Kila mtu ana haki na Uhuru kuripoti jambo lolote humu, Ilimradi ni jambo la kweli na lenye uwezekano wa Kujadilika!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!

haya bwanayesu asifiwe
 
Haka kajamaa tumekazoea na matapishi yake.NAPE ni changudoa na kahaba wa siasa na mazishi yake ni OCTOBER 2015
 
Sijui huyu bwana anaitaja CHADEMA mara ngapi kwa siku!?
 
Kwa lopolopo za nape zisizoeleweka. kwa mfano anaposema cdm ni chama cha harakati labda ingetakiwa atuambie maana ya harakati, suala lingine kila chama kina washaur wake, nape kachaguliwa lin na nan kuwa mshauri wa cdm? na upuuz wote huo kuna watu wanampa kichwa kwa kumuunga mkono, hapa jf kuna sumu, majebere nk. hawa watu ulitaka kujua hawashughulishi akili zao anagalia comment zao.
mfano majebere anasema 'cdm hamtaki kuambiwa ukwel' mm sijamuelewa ukwel upi? kuwa cdm ni chama cha kiharakati? ama upi?

ukiachana huyu shonza pia kwenye thread yake jana kuna msitari amesema 'MNAOCHANGIA M4C mdai risiti' sasa asiyetumia akili kufikiri mpime kwenye maneno yake mfano maana ya KUCHANGIA ni nn?

yangu ni hayo mnapochangia kithread ama kicomment jaribu kufikiri vizuri la sivyo utleta upuuz then utukanwe.
 
Sidhani kama ushauri wa mtu aliyepata F ya Civics kwenye mtihani wa form 4 utapokelewa na CHADEMA...

Hapa kuna kila dalili kuwa maandamano ya kumng'oa Kawambwa na Mulugo yamewashika pabaya CCM maana hata gazeti lao linaomba huruma ya nchi kutotawalika. Mbowe,, kamata mwizi meeeeeennnn
 
Kwani ni nini kinatenganisha siasa na harakati?

Swahilinomino (noun)9/10

Derived from Swahili

Definition: juhudi, mbinu au mapambano zinazofanywa na watu ili kufikia malengo yao au shuguli

Harakati, Sera, Harakati, maendeleo.
Nape ni Mbumbumbumbu.
 
Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE, amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!

Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!

Source: Gazeti la Mtanzania

bora hao waliofilisika sera lakini hizo chache walizobaki nazo wanazisimamia vilivyo kuliko nyie kina Nipe(Nape) Niule(Nnauye) mliofilisika kivitendo na hivyo kushindwa kutekeleza sera zenu.nani asiyejua mambo mengi kwenye serikali yenu mnalazimika kuyatenda kwa kelele za wapinzani?wenye akili tunajua wapinzani ndio wanaongoza nchi hivi sasa maana wakikaa kimya tu tumekwisha!
 
Hivi huyu hayumo kwenye orodha ya kwenda JKT??? kama hayumo kwenye list nilitamani kweli awepo tena batch hii ya kwanza. Angalau akikaa wiki tatu anaweza kurudi kichwani zikiwemo kidogo.
 
Back
Top Bottom