"UANZISHWAJI WA KANDA ZA CHADEMA NI KINYUME NA KATIBA YAO,,
Kama Chadema wanaweza kukiuka katiba yao wenyewe wataweza vipi kuiheshimu katiba ya Nchi?"-Nape aliyasema haya alipokuwa akiwahutubia umati wa wakazi wa mji mdogo wa makambako jana,alisema anashangazwa na kitendo cha chadema kuanzisha kanda na viongozi wa kanda hizo kutolewa mfukoni kwa mwenyekiti wa chadema ndugu mbowe huku wakifahamu wazi kuwa huo ni ukiukwaji wa katiba yao,,!!!
Kama Chadema wanaweza kukiuka katiba yao wenyewe wataweza vipi kuiheshimu katiba ya Nchi?"-Nape aliyasema haya alipokuwa akiwahutubia umati wa wakazi wa mji mdogo wa makambako jana,alisema anashangazwa na kitendo cha chadema kuanzisha kanda na viongozi wa kanda hizo kutolewa mfukoni kwa mwenyekiti wa chadema ndugu mbowe huku wakifahamu wazi kuwa huo ni ukiukwaji wa katiba yao,,!!!