Juzi nakumbuka niliwapa maelekezo yeye Nape na mwenzie KINANA(A.K.A NDOVU) nini cha kuzungumza katika ziara yao ili anainchi wawaelewe vizuri na waichukie CHADEMA nilisema waseme haya
By ebaeban![]()
katika ziala yenu ya majukwaani mkoa wa njombe pambaneni na chadema kisayansi bahati nzuri mtakutana na mwenzenu mzoefu deo filikunjombe, kamwe msiitete serikali kama inakosea na wala mda mwingi msiutumie kuitaja taja chadema. Waelezeni wanainchi maana ya:
- maisha bora kwa kila mtanzania sera hii ya ccm ni nzuri sana ikitekelezwa ipasavyo ila chama kinakwamishwa na watumishi wasiowaaminifu wa halimashauri zipatazo 136, maana wanakwiba hela zote zinazotumwa katika halimashauri zao ili kutekeleza miradi ya maendeleo, hii ni fursa nzuri kwenu(kinana, nape ) kuwasisitiza madiwani wasimamie vizuri hela za miradi, waambieni madiwani wawaangalie sana watendaji na wahoji hizo nyumba na magari wanayonunua.
- pia ni fursa kwenu kuwaambia wanainchi jinsi serikali yao inavyoshghurika na kudhibiti mfumko wa bei kwani nao ni kikwzo katika utekelezaji wa sera ya maisha bora kwa kila mtanzania
- kwamwe msijihusishe na matusi hasa wewe nape mambo yako ya kusema eti chadema ni nguruwe kamwe wanainchi hawawezi kukuelewa na ndo utalikoroga kabisaaaa
- pia waelezeni wanainchi jinsi serikali yao inavyojishughulisha na kupiga vita masuala ya rushwa ambayo imeshamili kiasi taasisi nzima kama bunge linahongwa.
mwisho waelezeni wanainchi namana serikali yao inavyoshughurika na wale wanaofuja raslimali ya taifa kama majangili wanaouwa tembo na kusafirisha vipusa, masuala ya kusaini mikataba mibovu ya kinyonyaji na wale wanaotorosha hela na kuweka banki za inje wote hawa wanakwamisha utekelezaji wa sera ya maisha bora kwa kila mtu.
Mukisema yote haya majukwaani bila matusi hakika chadema kwisha na tegemeeni kuvuna kadi nyingi sana toka upinzani,
nawatakia kazi njema
ebaeban
Tel.Aviv
Kwa nini hawasikii?
tel.aviv.
Mkuu!
Hapo umegonga IKULU! Hawata thubutu kusema hayo kabisa. Hapo ni aswa na kuwaambia waingize chuma cha moto kwenye ile sehemu aliyoitaja Serukamba!!