Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

Nina jamaa yangu ni Red Brigade hapa mjini, Tuna itikadi tofauti kabisa lakini mbona hajawahi kusema haya anayoyasema Nape? Nape mbona unakua mwongo sana?We unafikiri hizo ndio propaganda au unajidhalilisha tu? Unawachukuliaje watanzania kwa kuwadanganya? siasa za uongo huwezi kufika nazo mbali.Nakumbuka uliwahi kusema kua marehemu Mwangosi ameuawa na Chadema,Lakini alishitakiwa kwa mauji hayo leo si kiongozi wa chadema bali ni askari polisi.Shame on you.
 
tutajilinda kwa miili yetu na damu zetu,hatuna njia nyingine.kama mbunge rose kamili alitekwa je mwana chadema wa kawaida itakuaje!
 
nape ni gaidi,anashirikiana na mwigulu kuua albino.Sasa naanza kuamini alichosema Yericko kwamba mchana wanapiga picha na albino kujidai watawalinda ila usiku wanawawinda.RIP CCM
 
akili ya nape ni sawa kondoo! yani sijui anaongozaje familia yake humo ndani.nikama taahira
 
MSOME BOSI WAKO HUYU ALIYEKUPA HIYO ID NA TABLET UNAYOTUMIA.......
user-offline.png
VUTA-NKUVUTE

Yesterday 09:07
#56 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th November 2010
Location : Where the truth is
Posts : 3,812
Rep Power : 9089282
Likes Received3194
Likes Given401


[h=2]
icon1.png
Nape amechoka,apumzishwe[/h]
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM-Taifa, Nape Nnauye amechoka. Amechoka kimwili,kiakili,kimaneno na kimatendo. Kila uchao na kila apitapo,Nape anasema yale yale na kwa namna ile ile. Sasa Nape ameambatana na Katibu Mkuu wa CCM,Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana huko Dodoma. Nape ana ngekewa ya kupewa jukwaa na kuhutubia. Viongozi wa kitaifa waamuamini na kumpa nafasi.

Nape amechoka.Uchovu wake sasa u wazi kabisa. Anarudiarudia yale yale palepale na kwingineko.Yeye ni CHADEMA tuuuuuuuu...basi.Hana hoja za haja za kuwaambia wananchi na kuiuza vyema Ilani yetu ya CCM ya 2010-2015. Kuonesha Ilani ilivyotekelezwa kwa vitendo na vitengo kumemshinda Nape. Nape anang'ang'ania ugaidi,utapeli wa CHADEMA na mgogoro wa CHADEMA.

Nape habadili santuri. Hana jipya.Hapaswi kuendelea kupewa jukwaa na kuendelea kuwaboa na kuwakera wananchi. Apumzishwe. Kurudiarudia maneno na matendo ni uchovu wa dhahiri kwa Nape Nnauye. Nafasi adhimu anayopewa Nape apewe mwingne chamani. Kama vijana tunao wengi tu!


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam​


 
Nape is very right..red brigade ni magaidi
MSOME HUYU ALIYEKUAJIRI, NA KUKUPA ID HIYO NA TABLET UNAYOTUMIA....
user-offline.png
VUTA-NKUVUTE

Yesterday 09:07
#56 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th November 2010
Location : Where the truth is
Posts : 3,812
Rep Power : 9089282
Likes Received3194
Likes Given401


[h=2]
icon1.png
Nape amechoka,apumzishwe[/h]
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM-Taifa, Nape Nnauye amechoka. Amechoka kimwili,kiakili,kimaneno na kimatendo. Kila uchao na kila apitapo,Nape anasema yale yale na kwa namna ile ile. Sasa Nape ameambatana na Katibu Mkuu wa CCM,Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana huko Dodoma. Nape ana ngekewa ya kupewa jukwaa na kuhutubia. Viongozi wa kitaifa waamuamini na kumpa nafasi.

Nape amechoka.Uchovu wake sasa u wazi kabisa. Anarudiarudia yale yale palepale na kwingineko.Yeye ni CHADEMA tuuuuuuuu...basi.Hana hoja za haja za kuwaambia wananchi na kuiuza vyema Ilani yetu ya CCM ya 2010-2015. Kuonesha Ilani ilivyotekelezwa kwa vitendo na vitengo kumemshinda Nape. Nape anang'ang'ania ugaidi,utapeli wa CHADEMA na mgogoro wa CHADEMA.

Nape habadili santuri. Hana jipya.Hapaswi kuendelea kupewa jukwaa na kuendelea kuwaboa na kuwakera wananchi. Apumzishwe. Kurudiarudia maneno na matendo ni uchovu wa dhahiri kwa Nape Nnauye. Nafasi adhimu anayopewa Nape apewe mwingne chamani. Kama vijana tunao wengi tu!


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam​



 
CDM ni chama kinacho fuga magaidi
........... MSOME HUYU MTU ANAYEKULIPA UJIRA HAPO BUKU 7 LUMUMBA FC....
user-offline.png
VUTA-NKUVUTE

Yesterday 09:07
#56 JF Senior Expert Member Array


Join Date : 25th November 2010
Location : Where the truth is
Posts : 3,812
Rep Power : 9089282
Likes Received3194
Likes Given401


[h=2]
icon1.png
Nape amechoka,apumzishwe[/h]
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM-Taifa, Nape Nnauye amechoka. Amechoka kimwili,kiakili,kimaneno na kimatendo. Kila uchao na kila apitapo,Nape anasema yale yale na kwa namna ile ile. Sasa Nape ameambatana na Katibu Mkuu wa CCM,Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana huko Dodoma. Nape ana ngekewa ya kupewa jukwaa na kuhutubia. Viongozi wa kitaifa waamuamini na kumpa nafasi.

Nape amechoka.Uchovu wake sasa u wazi kabisa. Anarudiarudia yale yale palepale na kwingineko.Yeye ni CHADEMA tuuuuuuuu...basi.Hana hoja za haja za kuwaambia wananchi na kuiuza vyema Ilani yetu ya CCM ya 2010-2015. Kuonesha Ilani ilivyotekelezwa kwa vitendo na vitengo kumemshinda Nape. Nape anang'ang'ania ugaidi,utapeli wa CHADEMA na mgogoro wa CHADEMA.

Nape habadili santuri. Hana jipya.Hapaswi kuendelea kupewa jukwaa na kuendelea kuwaboa na kuwakera wananchi. Apumzishwe. Kurudiarudia maneno na matendo ni uchovu wa dhahiri kwa Nape Nnauye. Nafasi adhimu anayopewa Nape apewe mwingne chamani. Kama vijana tunao wengi tu!


Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam​



 
Nape Nnauye mbona huji hapa jf tuongee kidogo au siku hizi uko busy saaaaaana?
Uenezi ni kila mahali, Fanya uenezi na huku pia.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Nape ana mapepe, ni bure kabisa. Nawashangaa hata vyombo Vya habari vinavyoweza kunukuu upuuzi kama huu kutoka kwa Nape.

Vv
 
Hatuna muda wa kupoteza kubishana na Nape,kwani anatafuta attention.Tuendelee kupiga simu kwa ndugu zetu walioko vijijini tuwaelimishe.kila mtu akituma text msg 50 kwa mwezi hata viongozi wa upinzani hawatakiwi kwenda huko .Nimeshafanya hili zoezi limefanikiwa.Sasa ukiona mtu kama nape anaendelea na propaganda za 47 years .Tumwonee huruma tusimtukane.kwani ndio upeo wake umefika hapo .kinachotakiwa sisi tuendelee kanyaga twende .peleka pendera za ukawa huko kijijini kwako.M4C ndugu kwa ndugu sasa hivi.
 
inatakiwa ajifunze kwenye chaguzi zinzofanyika sasa au zilifanyika hivi karibuni asiangalie mifano ya chaguzi zilizopita kama za Chalinze
 
Green guards ni kundi la kigaidi Kama al shabab au hisbullah
 
Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.

CHANZO:ITV

My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
Nape ni mropokaji. Hekima ni mali .Mwenye hekima si mwepesi wa kusema.CCM ndiyo mwanzilishi wa vikundi vya ulinzi.Haya yanayotokea ni mazao ya ccm kufanya mambo pasipo kuuona athari iliyo mbele ya safari.Yako mambo mengi yatakayo igharimu ccm.Wananchi hatudanganyika!
 
Kwa kweli mimi huwa simshangai Nape Nnauye Huwa naishangaa Think tank ya maccm, ni kweli hapo ndiyo mwisho wao wa kuwaza na kuona?
 
Last edited by a moderator:
Kila mkoa kuna hizi kambi porini za GREEN GURDS kule Moshi kuna kambi kibosho na mwaka 2009 waliwahi kuvamia blood bank pale kcmc wakavunjavunja vioo vya jengo.
Kule Dodoma kuna kambi zao ktk kijiji cha chanene wilaya ya chamwino.
Ccm ni balaaa
In addition kuna polisi -ccm waliolipua mabomu mengi 2010 maeneo walioshinda wapinzani , nakumbuka pale mafyati mbeya in 2010 walirusha polisi ccm walirusha mabomu ktk kundi la wana CDM waliokuwa wanashangilia ushindi wa mh. Sugu na mtu mmoja alipoteza maisha na wengi wao kuvunjika miguu na mikono.
 
Wanajamvi ,
Naomba orodha ya kambi za green gurd mikoani nikazikague halafu nitaleta mrejesho nilichokikuta
 
Nape omba "PO" huoni kua umechoka?Huna hoja tena na ni dalili tosha kua umechokaaaa
 
Na pale mbeya green hufanya mazoezi ktk uwanja wa shule ya sekondari Ivumwe iliyopo nje kidogo ya mji.Tabora pia ofisi za ccm za kata mfano ni ofisi mpya zilizopo Kanyenye jirani na dampo.
Twayajua mengi,mpaka mafunzo wanayopata hadi silaha wanafundishwa.
Red ya CDM ipo kwa kulinda watu na mali za chama,wao kuua.Ila tutazipata bunduki na sie pumb.vu hawa
 
Back
Top Bottom