Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.
CHANZO:ITV
My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
Nimezoom ili nione jina la Nape bado sijaliona.Yamkini alikuwa anatumia jina lingine katika familia
Ndugu Nape ni bora ukaangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara .Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.
CHANZO:ITV
My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
Ukweli anaujua ila huyu mtu ni sawa na mfa maji haachi kutapatapa.
Naamini hata hii post aliisoma ila basi tu anajifanya haelewi
Jamaa ni great kilaza!Mkuu Salary Slip huyu jamaa kwa kubwabwaja pumba ndiyo mwenyewe, sijui hata huwa anatafakari yale anayotaka kuongea kwa kina kabla hajayaongea.
Kwahili la hivi vikundi vya redbriged na kile cha ccm kiukweli watanzania kuna sehem tumekosea. Madhara ya makundi kama haya ni makubwa. Jeshi la polis kazi ni kutulinda sisi na mali zetu. Kwahiyo hawa viumbe hawakutakiwa wawepo. Tunajiandalia bomu
Huu ni zaidi ya upuuzi! Wezi wa pesa za uma nao wanasifiwa? Nape asitupotoshe hapa na yeye ndiye anayekiua chama. Yaani unataka kutuambia wezi wa Escrow ni bora?Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.
CHANZO:ITV
My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
Green guard, red guarfs, black guards,wote wapigwe chini, hawa wanasiasa wanatutengenezea vikundi vya kigaidi tu. Mwisho utasikia wagagagigikoko nao wameunda jeshi lao
Nape is very right..red brigade ni magaidi