Mm kama mwandishi wa habari kazi yangu ni kuhabarisha. Habari ndio hiyo na imemek headline kama hivyo.
Sina bifu na merehemu Mnauye. Ila huyu sidhani kama ni mtoto wa huyu bregedia
Kumekuwa na mpango wa siri wa chadema kutumia redbrigade kutambua makazi ya maafisa wa serikali na magari yao kwa lengo la kuwadhuru ili washindwe kutekeleza majukumu yao.
Mpango huo unaratibiwa na chadema makao makuu na tayari redbrigade wamekwishaagizwa kuanza kazi hiyo mara moja.
Mpango huo umelenga kuchoma nyumba, magari au hata kuwaibia ili waweze kuwaza zaidi juu ya kujilinda huku wakiacha majukumu yao ambayo chadema wanadai ndio kikwazo chao cha kuingia ikulu.
Wamekubaliana kulifanya hili kama vile mauaji ya albino yalivyofanyika ili kuhamishia attention ya maafisa hao katika usalama wao na mali zao, jambo litakalotoa mwanya kwa chama hicho kufanya mipango yao ya kuingia ikulu.
My take.
Chadema hamna serikali hivyo kitendo hiki kitapelekea kila mtu kuwaona nyie ni wauaji na hata mashambulio yenu dhidi ya walemavu wa ...litawekwa wazi.
Pia hamna nguvu ya kupambana na serikalini. Subirini na muwe wapole.
Imevuja bahati mbaya.
Mm kama mwandishi wa habari kazi yangu ni kuhabarisha. Habari ndio hiyo na imemek headline kama hivyo.