Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

Hizo ni siasa zenu za ugombanishi mnachoma makanisa mnawasingizia waislaam ili mtugombanishe waislam na wakristo ili muendelee ufisadi wenu hamtuwezi sasa ni Ukawa kwa kwenda mbele
 
Kama hata Nape anakushinda namna ya kuibua propaganda basi wewe ni zaidi ya masaburi.
 
Mm kama mwandishi wa habari kazi yangu ni kuhabarisha. Habari ndio hiyo na imemek headline kama hivyo.
 
DOMO LIMENENA !!!MIMI BINAFSI NI CCM DAMU LALINI NAOMBA NISEME UKWELI CDM HAIWEZI FANYA UPUUZI WA AINA HIYO KATU, it may be ni mbinu chafu za domo / MGOMBEA ANAYEKUBALIKA NI LAZIMA APEWE KIPAUMBELE NO WAY OUT!! ndani ya ccm fullstop!!!
 
Auze sera za chama chake na asihangaike aachane ma chadema sisi wananchi tunamuuliza CCM imetufanyianini? Imewezaje kusimamia rasilimali za nchi? Wamezaje kulinda majambazi wa fedha za umma? Nashangaa anahangaika na CHADEMA ambao hawa mamlaka ya kuongoza nchi. Jamani huyu mbulula simuelewi unajua.
 
Nape anadhani watanzania wajinga,
Polisi wapo wanakesha siku zote kuwalinda watumishi.
Kama chama hakiwezi kuingia madarakani kikaja na watumishi wa kila idara toka kisiwa fulani, Chadema kinawaamini watumishi hawa ambao wamekosa serikali makini ili mawazo yao ya kuijenga nchi kwa nini iwadhuru?,

Imekuwa kawaida yenu,unapokaribia uchaguzi kuanza kuwatisha watumishi na wengine kuwatoa muhanga kwa faida ya ccm.Tunaujua mpango huo ccm wajue hilo,walianza kuua Arumeru,Singida na Igunga,kisha wakasema ni chadema.
miaka ya nyuma vyama vilikuwa vichanga kwa kila mbinu zenu,sasa tunawafuatilia
 
Mm kama mwandishi wa habari kazi yangu ni kuhabarisha. Habari ndio hiyo na imemek headline kama hivyo.


Ikiwa wewe ni mwanfishi wa habari wewe ni kanjanja,no research no right to say"
Umewauliza watumishi wa wizara ngapi?, umewauliza watumishi wa halmashauri japo hata tatu kwa watu 10 wenye ngazi tofauti wakakwambia kuwa ni kweli ndipo uripoti?
Waandishi wa kitanzania,kwa nini hamjifunzi hata kwa Waandishi wa BBC,CNN,au STV net?
 
ccm.jpg
attachment.php


attachment.php
 
Ccm isishughulike na uongo,imepewa kazi tangu 2010 hadi leo inawajibu wa kutekeleza ahadi 89 walizowaahidi wananchi,
Waliahidi meli kubwa kule Mwanza,Nyasa,Malagarasi,na Mtwara,
Aliahidi mashine za kisasa kwenye hospitali zote za rufaa nchini,Waliahidi nyumba 3000 za walimu nchi nzima,Waliahidi Mishahara ns kufuta kabisa ombaomba ya nchi yetu nje,waliahidi kukusanya kodi japo walikili chini ya Pius Msekwa kuwa rushwa imeota mizizi ndani ya ccm.Tunawasubiri mtoe hesabu
 
Kumekuwa na mpango wa siri wa chadema kutumia redbrigade kutambua makazi ya maafisa wa serikali na magari yao kwa lengo la kuwadhuru ili washindwe kutekeleza majukumu yao.

Mpango huo unaratibiwa na chadema makao makuu na tayari redbrigade wamekwishaagizwa kuanza kazi hiyo mara moja.

Mpango huo umelenga kuchoma nyumba, magari au hata kuwaibia ili waweze kuwaza zaidi juu ya kujilinda huku wakiacha majukumu yao ambayo chadema wanadai ndio kikwazo chao cha kuingia ikulu.

Wamekubaliana kulifanya hili kama vile mauaji ya albino yalivyofanyika ili kuhamishia attention ya maafisa hao katika usalama wao na mali zao, jambo litakalotoa mwanya kwa chama hicho kufanya mipango yao ya kuingia ikulu.

My take.
Chadema hamna serikali hivyo kitendo hiki kitapelekea kila mtu kuwaona nyie ni wauaji na hata mashambulio yenu dhidi ya walemavu wa ...litawekwa wazi.

Pia hamna nguvu ya kupambana na serikalini. Subirini na muwe wapole.

Imevuja bahati mbaya.

Hiyo ni intelijensia ya kundi lipi? Njaa yako inakufanya ufanye mambo ya ajabu kiasi hiki? This is astonishing.
 
Back
Top Bottom