Mingoi nijalie hali ya afya ya Naibu Spika Job Ndugai. Nasikia mmemwakyembe, je taarifa hizo zina ukweli kiasi gani?
Nape is very right..red brigade ni magaidi
Nape yuko sahihi kabisa.
Naifananisha RB na Mungiki.
Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.
CHANZO:ITV
My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
He is more than kilaza!
Akiongea leo mkoani Dodoma katika mkutano wa hadhara,katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,bwana Nape Nnauye , amekielezea kikundi cha Red Brigade kama kikundi cha kigaidi kinachoweza kuvunja amani ya nchi na kuwataka wananchi kuwa macho na vikundi vya aina hiyo.
CHANZO:ITV
My take;
Hivi kati ya Red Brigade na watuhumiwa wa Escrow,nani anahatarisha amani ya nchi hii?!
He is more than kilaza!
mkuu, siku hizi umehamia chadema?
View attachment 232246
View attachment 232247
Hawa sijui ni kina nani. Hivi huko ccm hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima wakuweza kumwambia Nape aache kuropoka ropoka hovyo? Au wote wana akili sawa naye?
Wewe kila siku unawadanganya wanaJf kuwa ni kiongozi wa CCM Makao Makuu.
Sasa unawaomba kina nani wampumzishe wakati wewe ndiyo unatakiwa umpumzishe?.
Au umesahau kama wewe ni kiongozi wa CCM makao Makuu.
Vijana wa BAVICHA mnafurahisha sana.
Unakuja kwa unafiki wa kutoa ushauri baada ya kupata kipigo cha hoja.
Nape yuko sahihi kabisa.
Naifananisha RB na Mungiki.