Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Napenda kumuuliza nape a very simple QN ni chama gani DUNIA hakipewi misaaada? Ni chama Gani Duniani hakichangiwi na wananchi????
Nadhani Nape Alama za nyakati nawe sasa zimeanza kukupotea au kama kuna mtu anakutumia sasa ukamwambie basi. kwanza hata wakatai umeanza kueleza au kutoa shtuma juu ya michango ya CDM physical appearance yako tu ilikuwa inaonyesha unatunga uongo kwa wale wanao jua kumsoma mtu mwanielewa vyema.
Nape we ungeendelea na kusafisha Chama chako na kuita vijana wakusaidia kukisafisha hao wazeeee watakuangusha na hutofanikiwa. Na dawa nzuri fanya kama Julias Malema former Youth Chairman of ANC alivyo kichachafya chama chake mpaka wakamweka nje na ni bado ni threat kubwa kwao
Napenda kumuuliza nape a very simple QN ni chama gani DUNIA hakipewi misaaada? Ni chama Gani Duniani hakichangiwi na wananchi????
Nadhani Nape Alama za nyakati nawe sasa zimeanza kukupotea au kama kuna mtu anakutumia sasa ukamwambie basi. kwanza hata wakatai umeanza kueleza au kutoa shtuma juu ya michango ya CDM physical appearance yako tu ilikuwa inaonyesha unatunga uongo kwa wale wanao jua kumsoma mtu mwanielewa vyema.
Nape we ungeendelea na kusafisha Chama chako na kuita vijana wakusaidia kukisafisha hao wazeeee watakuangusha na hutofanikiwa. Na dawa nzuri fanya kama Julias Malema former Youth Chairman of ANC alivyo kichachafya chama chake mpaka wakamweka nje na ni bado ni threat kubwa kwao