ndevu mzazi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 687
- 237
ole wao viongozi waumwe!duh kumbe kuna apollo!ndo maana ya kauli ya liwalo na liwe.
Pitieni paper yake ya masters kama hajadesa, huyu jamaa zero kabisa. Yeye ndo hana shukrani kwani analipwa na fedha la walalahoi halafu hataki kutetea mazingira bora ya walalahoi kutibiwa, dawa, vifaa pamoja na wanaowatibu walalahoi kufanya tiba kwa moyo huku akiachia watu waibe mabilioni na kuhifadhi uswisi na visiwa gani cjui huko na kuviita vijisent kisha haohao kuwapa uenyekiti wa kamati ya bunge ya fedha na uchumi. Hatuoni aibu. Kwanza aseme uvuaji gamba umefikia wapi?
Mkuu naunga mkono hoja kwa asilimia mia
Akihojiwa na star tv Nepi kadai wanalipwa kutokana na kodi za watanzania na kutowatibu ni kukosa shukrani ya kodi za watanzania. Amewataka wawatumikie watanzania kama wanavyolipwa mishahara inayotokana na kodi za watanzania hao.
Wazo langu.
Nape analipwa na nani na mshahara wake je unamuhimu kama wa mshahara wa dakatari kitaifa??
Naendelea kuwashukuru sana sana kwa matusi na kejeli zenu kwangu......be blessed!!!
Nawashukuru sana, NAWASHUKURU SANA KWA MATUSI NA KEJELI ZENU. NI KAMA VILE MNAJUA KAMA NALIPWA MSHAHARA AU LA! NARUDIA NAWASHUKURU SANA SANA..... BE BLESSED KWA MATUSI NA KEJELI ZENU ZOTE KWANGU.
Pole kaka yangu Nape,mimi nimeamua kutochangia hoja humu JF kwa vile wamejaa mazezeta,vichaa,wanafiki na watu wambea mbea.Namasha na CHADEMA kuwatuma wajisajili JF ili wawe wanaeneza chuki na uadui wa wananchi na CCM pamoja na SERIKALI yao kwa kubeza jitihadi za CCM kujenga uchumi imara.Wamesahau maadili ndiyo msingi wa maendeleo kwa taifa lolote lenye nia ya dhati.
Kila kitu kwa CCM ni kibaya tu?...nimeamini CHADEMA ni chama cha wanaharakati ambao wanajaribu kutumia rafu kupata ridhaa ya kushika dola.....Naapa kupambana na hila chafu za CHADEMA,SIKIKA,LHRC,UAMUSHO nk..kulinda amani ya Tanzania.
Tuonane ili tupange mbinu mpya za kuwashinda waasi hao ...au ni PM sasa hivi jinsi ya kuonana.
Nakumbuka bibi alikuwaga anasema hivi mara nyingi watoto wa nje ya ndoa ni wasumbufu sana!!!!