majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Nape alijisahau, wanaosomeshwa bure ni akina Riz1, Nape Nnauye na mitoto mingine ya viongozi wa Magamba ambao wanawekwa madarakani kwaajili ya kulinda madudu ya wazee wao wakati wapo madarakani.
"Hakuna daktari aliyesoma kwa 100% bila serikali kumsaidia" maneno ya Nape akiongea na waandishi wa habari jijini mbeya. hivi serikali ya Tanzania imemsomesha nani na lini? mimi ni kati ya watu tuliofukuzwa pale udsm mwaka 2007 kisa nilishindwa kulipa 40% eti wewe Nape unajishaua kwa kusema kuwa serikali inachangia masomo ya madaktari na watanzania. kama mnawasaidia watanzania ni kwanini mlianzisha kile kirusi HESLB? mimi mnavyojua ukimsaidia mtu wala huna haja ya kudai, mbona kaserikali dhaifu ka CCM kanawadai wanaolipa kodi, walipe mikopo iliyowapoesha wakiwa wanasoma elimu ya juu? Nape Nnauye labda wewe na mafisadi wenzio ndio mlisomeshwa na kaserikali kenu, ndio maana hamna uchungu na Nchi hii MNAROPOKA ROPOKA TU.
Madaktari wanalipiwa asilimia 100% na hawadaiwi, labda kama wameenda kuzoma IMTU, sasa kama hujui hii nani NDUDU wewe au Nape?
mvueni huyo ... hizo rangi ni za watu wenye akili etiii.... huyo hawezi kukamata hiyo kitu.... useless...
Kuna tofauti ndogo sana kati ya uwezo wa kufiri wa Nape Nnauye na Job Lusinde. Hivi huwa mnajiandaa kabla ya kuzungumza au mnazungumza kwa kuwa mnataka kuzungumza? Si mara zote lazima uzungumze maana hata kukaa kimya ni kuzungumza kwa busara.Nawashukuru sana, NAWASHUKURU SANA KWA MATUSI NA KEJELI ZENU. NI KAMA VILE MNAJUA KAMA NALIPWA MSHAHARA AU LA! NARUDIA NAWASHUKURU SANA SANA..... BE BLESSED KWA MATUSI NA KEJELI ZENU ZOTE KWANGU.
jina lake lenyewe ata halieleweki nape nnauye sa ndo nini??
nyang'au weweNawashukuru sana, NAWASHUKURU SANA KWA MATUSI NA KEJELI ZENU. NI KAMA VILE MNAJUA KAMA NALIPWA MSHAHARA AU LA! NARUDIA NAWASHUKURU SANA SANA..... BE BLESSED KWA MATUSI NA KEJELI ZENU ZOTE KWANGU.
Nawashukuru sana, NAWASHUKURU SANA KWA MATUSI NA KEJELI ZENU. NI KAMA VILE MNAJUA KAMA NALIPWA MSHAHARA AU LA! NARUDIA NAWASHUKURU SANA SANA..... BE BLESSED KWA MATUSI NA KEJELI ZENU ZOTE KWANGU.
Naendelea kuwashukuru sana sana kwa matusi na kejeli zenu kwangu......be blessed!!!
Nepi, Jibu hoja acha kulialia...Naendelea kuwashukuru sana sana kwa matusi na kejeli zenu kwangu......be blessed!!!
hii ni lugha ya mafisadi ,madkteta, wanyonyaji wakubwa dhidi ya wadai haki,haya nendeni huko mkaliwazane,ila mwisho wenu ni 2015;Pole kaka yangu Nape,mimi nimeamua kutochangia hoja humu JF kwa vile wamejaa mazezeta,vichaa,wanafiki na watu wambea mbea.Namasha na CHADEMA kuwatuma wajisajili JF ili wawe wanaeneza chuki na uadui wa wananchi na CCM pamoja na SERIKALI yao kwa kubeza jitihadi za CCM kujenga uchumi imara.Wamesahau maadili ndiyo msingi wa maendeleo kwa taifa lolote lenye nia ya dhati.
Kila kitu kwa CCM ni kibaya tu?...nimeamini CHADEMA ni chama cha wanaharakati ambao wanajaribu kutumia rafu kupata ridhaa ya kushika dola.....Naapa kupambana na hila chafu za CHADEMA,SIKIKA,LHRC,UAMUSHO nk..kulinda amani ya Tanzania.
Tuonane ili tupange mbinu mpya za kuwashinda waasi hao ...au ni PM sasa hivi jinsi ya kuonana.