saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewasihi waandishi wa habari kuepuka kuandika maneno yasiyo ya staha na kuegemea upande mmoja wakati wa mikutano ya vyama siasa iliyoruhusiwa na Rais Samia Suluhu Hassan hivi karibuni.
Nape alienda mbali zaidi na kusema waandishi wasirushe maundhui yenye matusi na kuwataka kubalance story ili kutenda haki kwa wengine.
Nape alienda mbali zaidi na kusema waandishi wasirushe maundhui yenye matusi na kuwataka kubalance story ili kutenda haki kwa wengine.