Nape amvaa Dr. Slaa

Nape amvaa Dr. Slaa

Nape si size ya MH DR SLAA , ile mikwara anayompiga lowasa asidhani anaweza kumpayukia kila mtu .
 
Kwahiyo nape anataka kutwambia na zile pesa za misaada wanazopewa serikali ya CCM na wahisani wa nchi za magharibi ni kwa sababu ya masharti maalumu? Nape apunguze choyo cha kijinga. Walitaka CHADEMA ishindwe kununua hata baiskeli halafu wao wawapite na mashangingi ya wananchi? Mara hii mumenasa.
 
anaacha kuangalia watoa nia anageukia dr slaa kwanza atueleze hizo pesa za watangaza nia wa ccm zimetoka wapi ndio aje upande wa pili
 
Vuvuzeela vuvuzeela vuvuzeela nepi hebu tueleze hela mnazokusanya mashirika ya umma,china na kwingineko mtazitumiaje.bandari bagamoyo mmechukua shs ngapi.nepi vaa pampers hiyo nepi ishakuvuka domo lako litasokomezewa kinyesi cha fisi oktoba
 
Nilikuwa nakuona mmoja ya watu walio timamu kichwani kumbe nilikosea sana! Hata kuwa member hapa JF ni bahati mbaya.



I usually talk straight, uchukie ukweli wangu, sio mm...kwani sio kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaenda Ulaya kuomba fedha za uchaguzi..!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaisaliti ndoa yake na Rose Kamili na watoto kawatelekeza...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa alikuwa padre akaachishwa baada ya kujulikana anafanya ufuska au uzinzi wakati yeye ni padre...!! Unajua kilichomwachisha upadre...!? Unajua ni vigumu mnoo mnooo mnoooooo kuachishwa upadreee....!!? Sasa nimekosa nn hadi useme siko timamu...!? Au naongea uongo..!? Nikupe namba ya Mwana mama Rose Kamili uongee nae ujue machungu anayopata katika maisha yake..!? Kamtesa sana mwanamke wa watu...Dr. Slaa ni janga....kwnn unafikiri juu juu tu...!!! Nasema kweli daima...!!!
 
Nape amalizane kwanza na Lowasa.
Ni kweli mkuu, mbona hamuulizi mzee wa mamvi anayetumia mabilioni ya shilingi katika kuisaka Ikulu, ambazo anadai anapewa na marafiki zake wafanyibiashara wakubwa sana hapa nchini?

Mbona hamuulizi EL kama hizo pesa anazopewa na marafiki zake kama atakuwa amekopeshwa atazirudishaje wakati Ikulu hakuna biashara yoyote?

Huyo Nape na TAKUKURU yao wote hawana lolote, Nape enzi zile alimpiga mkwara EL ajivue gamba ambalo lilishindwa kuvulika badala yake liliishia kiunoni.

Hao TAKUKURU nao wanajidai wanapiga mkwara kuwa watadeal na watangaza nia wote wa Sisiem wanaotumia mabilioni ya shilingi, ambazo vyanzo vyake havijulikani, mbona EL na watangaza nia wanafanya kufuru kwa pesa wanazotumia kwa kutangaza nia tu na TAKUKURU inagwaya kuwakamata?
 
I usually talk straight, uchukie ukweli wangu, sio mm...kwani sio kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaenda Ulaya kuomba fedha za uchaguzi..!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaisaliti ndoa yake na Rose Kamili na watoto kawatelekeza...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa alikuwa padre akaachishwa baada ya kujulikana anafanya ufuska au uzinzi wakati yeye ni padre...!! Unajua kilichomwachisha upadre...!? Unajua ni vigumu mnoo mnooo mnoooooo kuachishwa upadreee....!!? Sasa nimekosa nn hadi useme siko timamu...!? Au naongea uongo..!? Nikupe namba ya Mwana mama Rose Kamili uongee nae ujue machungu anayopata katika maisha yake..!? Kamtesa sana mwanamke wa watu...Dr. Slaa ni janga....kwnn unafikiri juu juu tu...!!! Nasema kweli daima...!!!
Ulitaka akuopoe we we use kimada wake?
 
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!

Unajishushia hadhi kwa michango wa Hovyo! We ni mtu mzima, sasa ndio nini umeandika sasa! We unafikiri watanzania wa sasa wanapenda sana matusi? Endelea kufuta kamasi ukichoka kalale.
 
slaa mjinga sana watu wanawaza kuimarisha uchumi wa ndani yeye anaenda kualika wakoloni...hatufai kabisa huyu babu


Hujui wakoloni ndiyo wanawalea CCM Mgogoni?.
Nani mfadhili wa Bajeti ya Serikali yenu?
 
slaa mjinga sana watu wanawaza kuimarisha uchumi wa ndani yeye anaenda kualika wakoloni...hatufai kabisa huyu babu

Nani huyo anayewazza kuimarisha uchumi Wa ndani. Unaota ndoto wewe, miaka zaidi ya 50 bado mnaombaomba kila mahali. Poor ccm!
 
Kuna kiongozi mmoja hapa Tanzania yeye kazi yake ni kufuja pesa za walipa kodi kwa kuzunguka kila mahali na mkasi wake ameuficha mfukoni akizindua, kufungua na kuweka jiwe la msingi

ujinga huu ndiyo unaosababisha umaskini
 
Nape saizi yake ni Lowasa wala hatuna muda wa kujadili ujinga wa mwehu nape
 
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!
Na Lowasa ?
 
Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza ccm itayaweka bayana.

Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu

Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo

Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.

Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa
Chanzo jamboleo
June 16, 2015
Kumbe ni kweli nape alipatikana kwenye mbio za mwenge.
 
Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.
Mmeshindwa kuwafunga mafisadi leo wanagombania form za urahisi ,mje mumfunge slaa mzalendo hasie na tuhuma yoyote ya wizi wa rasilimali zetu!!!?
 
Back
Top Bottom