Nape amvaa Dr. Slaa

Nape amvaa Dr. Slaa

Unajishushia hadhi kwa michango wa Hovyo! We ni mtu mzima, sasa ndio nini umeandika sasa! We unafikiri watanzania wa sasa wanapenda sana matusi? Endelea kufuta kamasi ukichoka kalale.



Hivi ukweli unauuma sana au...kwani si kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo anaitwa Josephine...sasa unanirushia mawe ya nn..!? na akamtelekeza mkewe Rose Kamili na watoto wadogo...!?
Kwnn hamtaki kusikia ukweli...je ww ungekuwa Mahimbo au Rose au watoto aliowatelekeza ungejisikiaje...!? Au sbb Dr. Slaa ana mabavu ndio avunje ndoa za watu...!? Kwnn hamtaki kusikia ukweli...!? hapa kuna uongo gani...!?
 
Mimi si mmoja wa bendera fuata upepo bila kutafakari si wa CCM wala Chadema, masuala yoyote yanayoigusa nchi nafurahi sana kupata ufumbuzi. Dr Slaa binafsi naona ni vizuri ukiweka bayana tuhuma hizi kwa manufaa ya nchi. Humu ndani wamejaa mashabiki wa kijinga wa kisiasa utadhani wanashabikia mechi za simba na yanga halafu ndo wasomi wengi inasikitisha sana.
 
Nape mimi huwa sikuelewi akili yako kama ipo sawa, mara nyingi unaongea mambo ambayo hayaeleweki. Ni afadhali uwe unanyamaza kama unachokiongea hukielewi. Huenda waliosema wewe ni vuvuzela hawakukosea.

Akili za kumuelewa mtu umezitoa wapi..? Hauwezi kumuelewa kamwe, labda uzaliwe mara ya pili.
 
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!

Nasikia eti wewe ni 'dreva' wa ndege kubwa kubwa?
 
Hali hii Dk.Slaa hajateuliwa kuwania Urais mnahangaika nae je akiteuliwa rasmi.?
 
Hizo ni porojo za Nape kwa wananchi zinazotolewa na mtu anae weweseka kutokana na kukata tamaa.

Kama Nape ana uhakika kuwa Dr Slaa amepewa fedha kwa ajili ya uchaguzi atapewa masharti gani zaidi ya kupewa masharti ya kuing'oa CCM madarakani?.
 
Mimi si mmoja wa bendera fuata upepo bila kutafakari si wa CCM wala Chadema, masuala yoyote yanayoigusa nchi nafurahi sana kupata ufumbuzi. Dr Slaa binafsi naona ni vizuri ukiweka bayana tuhuma hizi kwa manufaa ya nchi. Humu ndani wamejaa mashabiki wa kijinga wa kisiasa utadhani wanashabikia mechi za simba na yanga halafu ndo wasomi wengi inasikitisha sana.

Yaani ww nae kubwa jinga kbs mambo gani hayo unauliza ww kiazi hivi kwa akili yako ni ln Tanzania imeacha kuomba misaada kwa nchi za magharibi? na ni mara ngapi hayo masharti yamewekwa wazi nafikiri ww ni miongoni mwa vilaza humu JF
 
Hivi ukweli unauuma sana au...kwani si kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo anaitwa Josephine...sasa unanirushia mawe ya nn..!? na akamtelekeza mkewe Rose Kamili na watoto wadogo...!?
Kwnn hamtaki kusikia ukweli...je ww ungekuwa Mahimbo au Rose au watoto aliowatelekeza ungejisikiaje...!? Au sbb Dr. Slaa ana mabavu ndio avunje ndoa za watu...!? Kwnn hamtaki kusikia ukweli...!? hapa kuna uongo gani...!?
Ndivyo walivyo, hao ndugu zangu akili zao ni shida, we wazoee tu. Maana ndivyo Mungu alivyowaumba, ukiwafuatilia sana unaweza kumkufuru Mungu.
 
Duh....watu mnafuatilia..umejuaje!?

Kuna jamaa kanipa hiyo nyeti kuwa baada ya jaribio la yule Mlinzi wa Dr Slaa, aliyetegewa simu ili aonekane alitaka kumuua Dr, basi Josephinr akashauri wabadilishe na mpishi, jamaa akaniambia kuwa eti umeula..kwa sasa wewe ndio mpishi mkubwa nyumbani kwa Mama junior.
 
Hali hii Dk.Slaa hajateuliwa kuwania Urais mnahangaika nae je akiteuliwa rasmi.?

Hivi mna mpango yule babu kumsimamisha kugombea..? Si atadondoka saa mbili asubuhi..? Kweli mmefika mwisho wa kufikiri.
 
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!

Tulivyokuwa tunakuheshimu hatukutarajia mdomo wako kutokwa na uchafu hivyo kisa humpendi Dr Slaa. Usichopenda were wengine watamani kiwe kisa kuchafua mdomo kiasi hadi unakufa uchafu huo utakuwa mdomoni kwako.
 
Tulivyokuwa tunakuheshimu hatukutarajia mdomo wako kutokwa na uchafu hivyo kisa humpendi Dr Slaa. Usichopenda were wengine watamani kiwe kisa kuchafua mdomo kiasi hadi unakufa uchafu huo utakuwa mdomoni kwako.
Jaribu kusoma ulichoandika...kisha toa comments kama msomaji na sio mwandishi..? Ni aibu kubwa.
 
Back
Top Bottom