Dr Slaa hawezi kujibu maswali ya 'nazi' na 'ubongo wa samaki'! Hakuna asiyeujua uwezo dhaifu wa Vuvuzela NEPI!
Kwa kumsaidia Nape, kati ya masharti aliyopewa ni: Moja: kuwalinda Tembo wa Tanzania na meno yao dhidi ya ma-CCM, na Kinara wao Mkuu anayewamaliza, the great Elephant Dentist. Pia mbili: aliambiwa Rasilimali za Umma zilindwe dhidi ya Mafisadi wa CCM na pia dhuluma za wizi wa madini, Biashara za Sembe na Ufujaji unaoliwa na Wachina. Na sharti la tatu ni kuhakikisha Wana-CCM walioficha fedha nje wanarejesha ili kuijenga nchi itakayoachwa mahame kutokana na wizi unaoendelea sasa chini ya Ma-CCM.