Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Hii mikutano yao Nape na Kinana mbona uniform tuu ndio zimejaa? Hii inaonyesha watu waliokuja hapo ni wale wafuasi wao tuu hivyo hata akipiga kelele kuwa Msingwa aondolewe haisaidii maana hao bado ndio haohao waliomkataa Msigwa uchaguzi uliopita. Na hata idadi hiyo hairidhishi ukizingatia hapo alikuwepo Katibu mkuu wa Taifa na vikundi kadhaa vya burudani.
Ila ukiangalia mkutano huu wa Msingwa utagundua kuwa hapo lazima watu wa itikadi tofauti wakiwemo wa CCM wamo na ndio maana ya mkutano wa hadhara ili hata wale ambao hawakukubali ujinadi wakukubali. Idadi hiyo ya mchanganyiko wa aina hiyo na hakuna vikundi vya burudani inatia moyo kuwa Msigwa Iringa anaushawishi kuliko Kinana + Nape+ Burudani na hata wajivunje mikono ili kutafuta huruma hawataipata.
Ila ukiangalia mkutano huu wa Msingwa utagundua kuwa hapo lazima watu wa itikadi tofauti wakiwemo wa CCM wamo na ndio maana ya mkutano wa hadhara ili hata wale ambao hawakukubali ujinadi wakukubali. Idadi hiyo ya mchanganyiko wa aina hiyo na hakuna vikundi vya burudani inatia moyo kuwa Msigwa Iringa anaushawishi kuliko Kinana + Nape+ Burudani na hata wajivunje mikono ili kutafuta huruma hawataipata.