KBOSCO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 376
- 83
Katibu Mwenezi gani wa chama tawala asiyeweza kufanya ziara mikoani peke yake mpaka apate mbeleko ya Kinana? Hicho cheo hakiwezi, na siku JK akitoka Ikulu nayeye akatafute kibarua kingine.
********************
Chuki binafsi tu izo. Labda aingie Lowassa ndo jamaa atang'oka maana amewahi kumharibia madili mengi ikiwemo udhabuni ktk jengo la UVCC makao makuu na Ufisadi mwingine. Nape haumi maneno. Anakuchamba tu .
********************
Chuki binafsi tu izo. Labda aingie Lowassa ndo jamaa atang'oka maana amewahi kumharibia madili mengi ikiwemo udhabuni ktk jengo la UVCC makao makuu na Ufisadi mwingine. Nape haumi maneno. Anakuchamba tu .