Nape akutwa na majanga Iringa

Nape akutwa na majanga Iringa

Bora angekufa kabla ya kusababisha umwagaji damu kwa kuchakachua katiba
 
...Siku zote Mungu husimamia ukweli !!!


mara.jpg
Mtoto huyu jamani, ngozi magamba matupu baada ya kutumia maji ya sumu toka kiwanda cha mwekezaji,mfadhili wa CCM.Aende wapi ili apate haki ya kufurahia maisha kama akina Ritz? Mimi na wewe tumsaidie vipi huyu dogo? Maskini watoto wa Tanzania! IPO SIKU
 
Kwani kodi anakusanya Mchungaji Msigwa? au mmbunge anafanya nini zaidi ya kueleza shida za wananchi wake bungeni?

Nape anafikiria kwa kutumi ma-ka-lio ndiyo maana anasema wananchi hawana haja ya katiba kwani katiba haiwezi kuwajengea barabara wala kuwaletea wananchi maji. Huyu ni msomi wa Masters pale mzumbe....Sijui kwanini ameamua kukiabisha chuo alichosoma hivyo? kana kwamba hakufundishwa kitu chuoni.

Isije ikawa ni yaleyale yaliotokea Igunga. Kuhusu hili la elimu.......linahitaji utafiti wa kina pale mzumbe.
 
​Kwahiyo suala na Nappe kupata ajali limekufurahisha? Mnona babu ana kamkono kananing'inia je tusemeje??

Nilisha wakana kwa haya ya kuzushiana magonjwa. Dr. Slaa hakupenda awe mlemavu naye Nape pia tumkabidhi mikononi mwa Mungu. Lakini tusije tukasikia kuwa kuumia kwake ni kutokana na................kama yale Igungaaaaaa........sijui yule aliyefumaniwa alikuwa nani? Naomba tukumbushane.
 
Chama cha majangili kinaongozwa na jangilii mkuu kinana.Hapo kuna mungu sasa? Huu nape nae njaa mingi kwa sababu ata kujenga hoja hawezi. kwani kuleta maendele ni kazi ya mbunge au ni kazi ya serikali? kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi na kushirikiana nao kama vile alivyojitoa akatumi shilingi milioni 50 kununua magodoro katika hosipita ya mkoa. na bungeni anawesemea sana. mbona haji uku liwale aseme mbunge hajawaletea wananchi maendeleo coz huku hakuna mbunge kuna boya tu
 
hata CCM wapo pia. Nadhani tusifanye siasa na Mungu. Huko ni kumkosea adabu kwa nafasi yake. CHADEMA na vyama vingine yawezekana kuna wachamungu wala sina tatizo na hili. Ila kukifanya chama cha siasa ni representative wa Mungu au Mungu.mwenyewe ni utovu wa nidhamu na ni dhambi!

Hata ukiangalia Historia watu wote waliompigania Mungu waliteseka sana au walipigana vita kwa ajili ya huo utukufu wa Mungu. Hivyo CDM inayoyapita hayapishani sana na ya hao Mitume.
 
NAPE umejipa mtoto mayai wakati umekulia ktk matembe nduguti!Bora huo mkono ungekatwa kabisa! Nape Nnauye
 
Last edited by a moderator:
"ukipambana na chadema, unapambana na Mungu" nahic unaposses ubongo wa kuku wewe…
 
....

katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Nape Nnauye apatwa na majanga mkoani Iringa baada ya kuanguka na kuteguka mkono wake wa kulia wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya timu ya msafara wa Kinana na Veteran mjini Iringa.

Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo na hivyo kulazimika kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi.


3.%2BNape%2BIringa%2Bmjini.jpg


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa
Mwembetogwa mjini hapa Nape ambae alikuwa amefungwa mkono wake alisema amepatwa na tatizo hilo leo asubuhi baada ya kuanguka uwanjani japo mbali ya kuanguka alisema hajaweza kuacha kupanda jukwaani kuwaeleza wananchi wa Iringa mjini juu ya mbunge wao mchungaji Peter Msigwa( Chadema)

Kwani alisema ni lazima mbunge Msigwa aondoke katika jimbo hilo baada ya kushindwa kuwatumikia vema wananchi wa jimbo hilo na kuendelea kuwaletea mabalaa mbali mbali .

Nape pia ametumia nafasi hiyo kutaja ahadi lukuki za mbunge Msigwa ambazo alipata kuwaahidi wananchi pasipo kuzitekeleza katika jimbo hilo.


note: Ukipambana na Chadema unapambana na Mungu !!!

Mungu siyo DJ
 
hata CCM wapo pia. Nadhani tusifanye siasa na Mungu. Huko ni kumkosea adabu kwa nafasi yake. CHADEMA na vyama vingine yawezekana kuna wachamungu wala sina tatizo na hili. Ila kukifanya chama cha siasa ni representative wa Mungu au Mungu.mwenyewe ni utovu wa nidhamu na ni dhambi!
Wewe endelea na programming ya ile editor yenu ya PHP, JAVA na C++ au imekushinda? lakini hapa utatukanwa mpaka ujione hujui kitu
 
pole sana kamanda nape. cdm wameanza michezo yao mibovu mungu atalinda
 
Kwani kodi anakusanya Mchungaji Msigwa? au mmbunge anafanya nini zaidi ya kueleza shida za wananchi wake bungeni?

Nape anafikiria kwa kutumi ma-ka-lio ndiyo maana anasema wananchi hawana haja ya katiba kwani katiba haiwezi kuwajengea barabara wala kuwaletea wananchi maji. Huyu ni msomi wa Masters pale mzumbe....Sijui kwanini ameamua kukiabisha chuo alichosoma hivyo? kana kwamba hakufundishwa kitu chuoni.

ujue hawa ccm wanadhani wote hatuna akili! Nani asiyejua Kazi ya mbunge? aseme hapa tumuelimishe sie Kazi yetu Ni kuwakomboa watu kifikra tutaoa Elimu bure ya utaia!
Kazi ya mbunge si kuleta maendeleo Kazi ya mbunge Ni kutunga Sheria Na kuisimamia serikali ilete maendeleo kwa wananchi wake! Na hiyo Kazi msigwa ameifanya kwa ufanisi Mkubwa! iringa ua Leo sio ile iringa ya mama mbega. iringa kuna maendeleo makubwa sana! pili ccm mkisikia msigwa mavi yanawabana uanagonga chupi yanarudi amewaumbua sana Na ujangili wenu wa tembo. MUNGU mbariki msigwa MUNGU ibariki iringa.

kodi ikusanywe Na ccm Madini muuze nyie ccm tembo muuze nyie ccm halafu mseme msigwa alete maendeleo atayatoa wapi?
shame on u ccm! mifi nye!
 
Pole Comrade! Lazima wananchi wa Iringa wasaidiwe kumuondoa Muhuni aliejipachika Vyeo vya Kiiamani

Mkuu, Kama Msigwa anaangukia kwenye kundi la Wahuni, Jah People utamwitaje? Lazaro Nyalandu je? Vicky Kamata je? Wahuni wangapi wa chama chetu ccm wanatakiwa watoke?
 
Back
Top Bottom