Nape akutwa na majanga Iringa

Nape akutwa na majanga Iringa

sijafurah vizur angevunjika mdomo maa ndio mbaya kuliko
 
Kama nape kategua mkono basi kinana atategua mguu! Chezea wagayasida wewe!!!!!!
 
Naomba kufahamishwa kama kampeni za uchaguzi wa wabunge zimeanza. au iringa kuna uchaguzi wa wabunge?
 
hata CCM wapo pia. Nadhani tusifanye siasa na Mungu. Huko ni kumkosea adabu kwa nafasi yake. CHADEMA na vyama vingine yawezekana kuna wachamungu wala sina tatizo na hili. Ila kukifanya chama cha siasa ni representative wa Mungu au Mungu.mwenyewe ni utovu wa nidhamu na ni dhambi!


Kwa hiyo wewe unaamini Mungu yupo au anapatikana makanisani au misikitini tu !!!!!?

Usiishi kwa kukariri ,jaribu walau kidogo kuelewa.
 
Nakubali kabisa kuwa ukipambana na CDM unapambana na Mungu kwani sera za CDM unaongelea usawa kwa jamii yote si kama ccm!laana zimewakumba!c unaona Nape limevunjika mkono?na bAaaaddo
 
...lengo ilikuwa kuvunja kiuno,dah anabahati alistukia akatanguliza mkono...
 
Kwani kodi anakusanya Mchungaji Msigwa? au mmbunge anafanya nini zaidi ya kueleza shida za wananchi wake bungeni?

Nape anafikiria kwa kutumi ma-ka-lio ndiyo maana anasema wananchi hawana haja ya katiba kwani katiba haiwezi kuwajengea barabara wala kuwaletea wananchi maji. Huyu ni msomi wa Masters pale mzumbe....Sijui kwanini ameamua kukiabisha chuo alichosoma hivyo? kana kwamba hakufundishwa kitu chuoni.
Nape hakuwahi kuingia darasani Mzumbe alienda kuchukua cheti tu. Aliyeandika tasnifu yake mbona anafahamika.
 
Back
Top Bottom