Nape akutwa na majanga Iringa

Nape akutwa na majanga Iringa

Wananchi wa Iringa ndio walio mchagua Msigwa na ndio wanaoujua uzuri wa Msigwa na siyo Nape.Nape ana takiwa aikoromee CCM yake ambayo imekaa madarakani zaidi ya miaka 50 pamoja na kukusanya kodi lakini imeshindwa kutimiza ahadi zake kwa wana Iringa na kwa watanzania wote.Wangekuwa wametimiza ahadi zao Msigwa asingepata nafasi ya kuahidi.Kuliko kumsakama Msigwa ambaye amechaguliwa na wana Iringa wenyewe na ndio wanaoujua uzuri wa Msigwa,Nape ana takiwa awashauri wana Iringa waendelee kumchagua Msigwa zaidi ya miaka 50 kama wao walivyotawala ili waone kama Msigwa hatatekeleza ahadi zake.
 
....

katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Nape Nnauye apatwa na majanga mkoani Iringa baada ya kuanguka na kuteguka mkono wake wa kulia wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya timu ya msafara wa Kinana na Veteran mjini Iringa.

Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo na hivyo kulazimika kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi.


3.%2BNape%2BIringa%2Bmjini.jpg


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa
Mwembetogwa mjini hapa Nape ambae alikuwa amefungwa mkono wake alisema amepatwa na tatizo hilo leo asubuhi baada ya kuanguka uwanjani japo mbali ya kuanguka alisema hajaweza kuacha kupanda jukwaani kuwaeleza wananchi wa Iringa mjini juu ya mbunge wao mchungaji Peter Msigwa( Chadema)

Kwani alisema ni lazima mbunge Msigwa aondoke katika jimbo hilo baada ya kushindwa kuwatumikia vema wananchi wa jimbo hilo na kuendelea kuwaletea mabalaa mbali mbali .

Nape pia ametumia nafasi hiyo kutaja ahadi lukuki za mbunge Msigwa ambazo alipata kuwaahidi wananchi pasipo kuzitekeleza katika jimbo hilo.

[07:19, 10/13/2014] Masengo: News; Moto mkali wateketeza soko kuu la wilayani urambo mkoa wa Tabora. Moto huu ulianza majira ya saa nne usiku na bado unaendelea hadi asubuhi hii. Mali za mabilioni kadhaa zateketea na moto huo yakiwemo maduka makubwa yaliyozunguka soko hilo. Chanzo cha moto huo ni itilafu ya umeme ambapo wilayani urambo umeme una kawaida ya kukatika na kurudi mara kwa mara. Aidha wilaya hii haina hata gari moja la zimamoto.
[07:36, 10/13/2014] : Halafu wamekazana oooh msigwa hajaleta maendeleo lazima aondoke! Jimbo la sita hilo amekaa miaka zaidi ya 30 akiwa mbunge wa urambo mpk Leo hakuna gari LA zima moto.
Kweli inaingia akilini?
[07:36, 10/13/2014] CDM Chinga President: ilani ya ccm inaubaguzi inapeleka zimamoto kwa msigwa harafu kwa sita hapewi kumbe dawa ya maendeleo ni kuchagua upinzani✅
[07:38, 10/13/2014] : Kwa hiyo nape alisema msigwa lazima aondoke kumbe nimejua wakuondoka Ni serikali ya ccm ndio haijaleta maendeleo. Na sio msigwa
 
....

katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Nape Nnauye apatwa na majanga mkoani Iringa baada ya kuanguka na kuteguka mkono wake wa kulia wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya timu ya msafara wa Kinana na Veteran mjini Iringa.

Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo na hivyo kulazimika kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi.


3.%2BNape%2BIringa%2Bmjini.jpg


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa
Mwembetogwa mjini hapa Nape ambae alikuwa amefungwa mkono wake alisema amepatwa na tatizo hilo leo asubuhi baada ya kuanguka uwanjani japo mbali ya kuanguka alisema hajaweza kuacha kupanda jukwaani kuwaeleza wananchi wa Iringa mjini juu ya mbunge wao mchungaji Peter Msigwa( Chadema)

Kwani alisema ni lazima mbunge Msigwa aondoke katika jimbo hilo baada ya kushindwa kuwatumikia vema wananchi wa jimbo hilo na kuendelea kuwaletea mabalaa mbali mbali .

Nape pia ametumia nafasi hiyo kutaja ahadi lukuki za mbunge Msigwa ambazo alipata kuwaahidi wananchi pasipo kuzitekeleza katika jimbo hilo.


note: Ukipambana na Chadema unapambana na Mungu !!!

Britons wana msemo kwamba,''You can fool some people for some time, but you can not fool all people all the time''.

Nnape a.k.a Nepi hana jipya na hana sera. Swala la maendeleo mahali popote kwenye nchi hii iwe ni kijiji,wilaya,mkoa au Taifa kwa ujumla ni JUKUMU LA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI. Full stop. Hizi longo longo za kina Nepi na Kinena wake za kuwalaghai Watz na wana Iringa kuwa Mhe. Msigwa ameshindwa kuwaletea maendelea s kweli hata kidogo. Wana wa Iringa walitakiwa wamuulize Kinena na Nepi kwanini Serikali ya CCM imeshindwa kuwaletea maendeleo ilhali CCM ndiyo wenye dola????Hivi Nepi na Kinena wamesahau kuwa ni hawahawa wamewahi kuwaambia Watanzania kwamba jimbo lolote ambalo wananchi wake wanawapigia kura wapinzani basi wasitegemee kupata maendeleo????

Lakini pia Nepi na Kinena wanaweza kuulizwa kwamba jimbo la Iringa Mjini ambalo Mhe. Msigwa ndiye Mbunge wake kwa sasa limekuwa chini ya Utawala wa Wabunge wa CCM kwa zaidi ya miaka 40 kwa maana ya zaidi ya vipindi 8 vya miaka 5.Je, CCM imefanya maendeleo gani kwa Watu wa Iringa mjini????Tunajua kuna njama za kudhoofisha upinzani zinazofanywa na CCM kwa maksudi kwa kutopeleka huduma za kijamii kwa maana ya maendeleo kama barabara,shule,hospitali,n.k kwa kuwakomoa Wananchi kwa viile tu wamechaguma Mbunge wa upinzani!!Huu ni ushenzi na uhuni ambao tunaujua na upo sehemu nyingi katika Tanzania.

Juzi pale Mwanza Mbunge wa CHADEMA Mhe. Ezekiel Wenje(Nyamagana) alitoa darasa kwa Rais Kiwete na CCM yake wakati akizindua barabara na daraja la waendao kwa miguu kwamba FEDHA ILIYOTUMIKA KUJENGA DARAJA NA BARABARA NI FEDHA INAYOTOKANA NA KODI ZA WANANCHI NA SI FEDHA YA CCM!!Huu ni ukweli ulio wazi na Kiwete na Maghufuli walibakia kukenua na kukodoa mimacho tu kwa vile aliwaambia ukweli!!

Kwa hiyo tunawataka Neppi na Kinena wake waache kuwapotosha Watanzania. Kazi ya kuwaletea maendeleo Wananchi ni kazi ya Serikali iliyoko Madarakani ambayo kwa sasa ni ya CCM. Laiti kama CHADEMA ingelikuwa ndiyo wako Ikulu ningekubaliana na hicho wanachodai Nepi na Kinena!
 
Mungu gani huyo kwenye Masanduku ya kura kila Uchaguzi kura hazitoshi, Mungu gani anaedai kuibiwa kura baada ya kushindwa " kuzilinda" aliepa kuandamana mpaka Bunge liahirishwe lakini akashindwa, Acheni kufananisha washerati wa akina Mukya na jina la Muumba wako na wangu

kama kuna sehemu ambazo kura za chadema huwa hazitoshi,ni chache sana,sehemu nyingi ccm wamekuwa wakishinda kwa nguvu,ndiyo maana hata matokeo yalikuwa yakichelewa kutangaza,hadi watu waandamane,we vipi?ni mzima kweli kichwani?
 
Nape Nape Napeee CCM imetawala zaidi ya miaka 50 haijatekeleza ahadi zake.Ukiwauliza wanasema ahadi zao ni za miaka 5,mara wanasema kuwa tutatekeleza ahadi zote,mara wanasema kuwa tunaelekea kukamilisha ahadi zetu.Nape ana taka wapinzani walioongoza kwa kipindi kifupi ambao hawakusanyi kodi watekeleze ahadi zao ndani ya wiki moja,wasipotekeleza waondolewe.CCM imeshindwa kuwasadia wananchi kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake,kwa mjibu wa Nape wapinzani nao wameshindwa kuwasadia wananchi kwa kushindwa kutekeleza ahadi zao.CCM na wapinzani wote wameshindwa kuwasaidia wananchi kama wote wameshindwa kuwasaidia wananchi Nape ana taka wapinzani waondolewe kwa faida ya nani?
 
Nape hata angevunjika kiuno hana faida yoyote sifa zimemponza
 
Mkuu kula 100%, kweli kabisa Mungu wa chadema ni Mungu failure wa kila jambo.. Mungu aliyewapa wabunge 5 mwaka 2005, na mwaka 2010 kawapa wabunge zaidi ya 40, Mungu wao akashindwa kuwapa madiwani wengi kutoka 25 mwaka 2005, hadi madiwani zaidi ya 200, 2010 na kuwafelisha hata kushindwa kuongoza halmashauri, kama za Arusha.. etc

Mungu wao ni failure kabisa, hakuwasaidia kuipata arusha, mbeya, kawe, Mbeya, Mwanza, Musoma mjini, Iringa mjini,.. na yote yalikuwa majimbo ya chama cha Mungu wa mafanikio wa CCM,

Mungu wa chadema ni wa kushindwa tu, maana Mungu wa mafanikio wa CCM aliwaambia Chadema itakufa 2013 lakini Mungu wa Kufeli wa Chadema Mpaka leo..Ameicha Chadema

Mungu wa Kufeli kwa kila jambo wa Chadema hajawasaidia kushinda kesi za ugaidi, kesi za kuwa ni chama cha Kikabila na Kikanda.

Lakini Mkuu nikupe 5 kwa kuwa Mungu wa Chama chako ni Mungu wa Mafanikio kwa Kila jambo

Katika utawala wa JK tu, Mungu wenu amefanikishia kubadili baraza la mawaziri zaidi ya mara 4, Mungu wenu akawapigania 2010, mkapata kura 61% kutoka ushindi wa kishindo wa 2005, Lakini Mungu wenu ni wa mafanikio zaidi maana mko madarakani tangu 1961 mpaka leo, lakini bado hamuishi kuahidi, maisha bora kwa kila mtanzania.... Kasi mpya ari mpya, Mungu wenu kawasaidia kuondoa adui ujinga, maradhi na umaskini.. watanzania wanapaopata huduma ya umeme ni 17% tu ya watanzania wote.. Mungu wenu wa mafanikio amesaidia serikali yako kuongeza ajira, kupunguza rushwa, utumiaji wa madawa ya kulevya, kupambana na umaskini... Mungu wenu ni wa mafanikio maana aliwasaidia Mkamuua Mvungi, Imrani Kombe, Kolimba.. na zaidi ya yote kawasaidia kuuza viwanda vyote.. na vyote leo vinafanya kazi na vimetoa ajira milioni 30 kwa watanzania.. Hongereni sana na Mungu wenu...

Mungu wa chadema ni wa kushindwa kabisa kila jambo...

Toka lini mungu akawa mwanasiasa?
 
....

katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Nape Nnauye apatwa na majanga mkoani Iringa baada ya kuanguka na kuteguka mkono wake wa kulia wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya timu ya msafara wa Kinana na Veteran mjini Iringa.

Tukio hilo limetokea mapema asubuhi ya leo na hivyo kulazimika kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi.


3.%2BNape%2BIringa%2Bmjini.jpg


Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa
Mwembetogwa mjini hapa Nape ambae alikuwa amefungwa mkono wake alisema amepatwa na tatizo hilo leo asubuhi baada ya kuanguka uwanjani japo mbali ya kuanguka alisema hajaweza kuacha kupanda jukwaani kuwaeleza wananchi wa Iringa mjini juu ya mbunge wao mchungaji Peter Msigwa( Chadema)

Kwani alisema ni lazima mbunge Msigwa aondoke katika jimbo hilo baada ya kushindwa kuwatumikia vema wananchi wa jimbo hilo na kuendelea kuwaletea mabalaa mbali mbali .

Nape pia ametumia nafasi hiyo kutaja ahadi lukuki za mbunge Msigwa ambazo alipata kuwaahidi wananchi pasipo kuzitekeleza katika jimbo hilo.


note: Ukipambana na Chadema unapambana na Mungu !!!
mbona watu wote wamevaa sare kama wanafunzi hii inaonyesha jinsi ccm inavyowarubuni wananchi kwa kuwahonga kanga ;kofia na t-shirt waende kwenye mikutano ya ccm hii aibu kwa taifa ccm kuchezea pesa zetu kwenda kushonea nguo za ccm kuwadaa wananchi ccm ni wapuuzi sana
 
mungu gani huyo kwenye masanduku ya kura kila uchaguzi kura hazitoshi, mungu gani anaedai kuibiwa kura baada ya kushindwa " kuzilinda" aliepa kuandamana mpaka bunge liahirishwe lakini akashindwa, acheni kufananisha washerati wa akina mukya na jina la muumba wako na wangu

umemaliza kopo la ugimbi nikumiminie lingineee?????

Mbinga1.jpg
 
Mungu gani huyo kwenye Masanduku ya kura kila Uchaguzi kura hazitoshi, Mungu gani anaedai kuibiwa kura baada ya kushindwa " kuzilinda" aliepa kuandamana mpaka Bunge liahirishwe lakini akashindwa, Acheni kufananisha washerati wa akina Mukya na jina la Muumba wako na wangu

Kumbe wewe humjui Mungu kabisa, wewe Mungu kwako ni yule ambaye angewanyima hewa majambazi, mafisadi, waua albino, wala rushwa, wezi wa kura, wauaji, wasingizizji, waongo......
Ngoja nikuambie, Mungu ha-operate hivyo, sijui nani angeishi, ila Mungu ana wakati wake kwa kila jambo. Wamtumainiao hawatakiwi kuchoka kumwamini na kumwomba. * Ni wa rehema kwa wote, wema na wabaya.Hata hivyo usijali, iko siku utamjua Mungu na utamkiri
 
Kweli ya Mungu mengi.usimtusi mkunga na uzazi ungalipo na usimtusi mamba kabla hauja vuka mto huyu nape si alikuwa akimtusi na kutoa ishara za kejeli kwa dr slaa huku akionyesha ishara za mkono wa dr slaa(mlemavu) naye yamemkuta.:
 
Mungu gani huyo kwenye Masanduku ya kura kila Uchaguzi kura hazitoshi, Mungu gani anaedai kuibiwa kura baada ya kushindwa " kuzilinda" aliepa kuandamana mpaka Bunge liahirishwe lakini akashindwa, Acheni kufananisha washerati wa akina Mukya na jina la Muumba wako na wangu
Wapiga kura wanaopewa wali maharage, pombe ya kienyeji (ugimbi na Ulasi), kanga na fulana ya kijani, shilingi 2,000/= na kubebwa kwenye lori kutoka Madibila mpaka Kalenga kwenda kupiga vigeregere....
 
hata CCM wapo pia. Nadhani tusifanye siasa na Mungu. Huko ni kumkosea adabu kwa nafasi yake. CHADEMA na vyama vingine yawezekana kuna wachamungu wala sina tatizo na hili. Ila kukifanya chama cha siasa ni representative wa Mungu au Mungu.mwenyewe ni utovu wa nidhamu na ni dhambi!
Tangu lini umekuwa msemaji wa Mungu?
 
Amekuwa mzito mno Nape, unene unamwangusha, amekosa balance, hii kutokana na posho nono za 500,000 kwa siku wanazochukua naKinana.
 
Mkuu, Kama Msigwa anaangukia kwenye kundi la Wahuni, Jah People utamwitaje? Lazaro Nyalandu je? Vicky Kamata je? Wahuni wangapi wa chama chetu ccm wanatakiwa watoke?

Mkuu haina haja ya kumuamsha alie lala, achana nae huyo wabunge wao wale wa VITU maalum wameenda bungeni kugombania mabwana wameona vitu vyao maalum vinatumika kuwachanganya waanza kutumiana ujumbe wa matusi kwenye simu eti wawakilishi wa wananchi kuna wahuni kuliko hao na waliowachagua?
 
Kufuru hiyo acha kumchezea mungu utaadhibiwa ungali duniani

Hivi kuna alie mchezea Mungu kama mwenyekiti wa bunge la katiba ya CCM bwana six ( maana hastahili kitwa MH.) unaongoza bunge batili la kuchakachua, kuweka kura za marehemu amabye Mungu alisha muondolea majukumu yake ya hapa duniani? Unatukana viongozi wadini? Unafungua bunge kwa Jina la Mungu wakati unaongea uongo? Nani amemchezea Mungu kiasi hicho. Usiwe kipofu kuona yampendezayo MUNGU umeambiwa usimtendee mwenzako usilotaka kutendewa.
 
Back
Top Bottom