Emmanuel R. Ntobi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 691
- 1,494
Pole zake, ila huo mwili haoufai kwa kijana anaejitambua.
Huwezi kunenepeana kama mtu asiekuwa na majukumu.
Kijana wa kileo?
Tena muenezi wa chama tawala?
No.
Kwa hiyo kambi ya Lowassa imeshangilia kiasi hiki? CCM mnaombeana mabaya kiasi hiki?
Dogo anafukia kweli menu. Hapo BMI >30. Magonjwa mfumo wa damu,DM+mishipa ya fahamu ndo mahali pake. Asubiri kuchapiwa dem,maana erectile dysfunction ni nyumbani kwake.Pole zake, ila huo mwili haoufai kwa kijana anaejitambua.
Huwezi kunenepeana kama mtu asiekuwa na majukumu.
Kijana wa kileo?
Tena muenezi wa chama tawala?
No.
Alisema wazee wanasubiri kufa akajisahau yeye ni mwanadamu ambaye awezi kuona kesho, sasa kavunjika na wazee bado wanapeta....
bato, bmi ya nape haiwezi kuwa >30 hasa ukitezama urefu wake.Namwona kama uzito wake unaendana na urefu wake.Dogo anafukia kweli menu. Hapo BMI >30. Magonjwa mfumo wa damu,DM+mishipa ya fahamu ndo mahali pake. Asubiri kuchapiwa dem,maana erectile dysfunction ni nyumbani kwake.
Alisema wazee wanasubiri kufa akajisahau yeye ni mwanadamu ambaye awezi kuona kesho, sasa kavunjika na wazee bado wanapeta....
Pole zake, na akome kutukana wakunga wakati uzazi ungalipo hujafa hujaumbika, alikuwa akifanza nini?
.Pole zake, ila huo mwili haoufai kwa kijana anaejitambua.
Huwezi kunenepeana kama mtu asiekuwa na majukumu.
Kijana wa kileo?
Tena muenezi wa chama tawala?
No.
Pole zake, ila huo mwili haoufai kwa kijana anaejitambua.
Huwezi kunenepeana kama mtu asiekuwa na majukumu.
Kijana wa kileo?
Tena muenezi wa chama tawala?
No.
Dogo anafukia kweli menu. Hapo BMI >30. Magonjwa mfumo wa damu,DM+mishipa ya fahamu ndo mahali pake. Asubiri kuchapiwa dem,maana erectile dysfunction ni nyumbani kwake.
Aache kula wakati ndiyo zake! We wana-ccm wenzake wote wakati wa msosi huwa wanamshangaa cheki hapa kwenye picha wanavyofukia lakini Kinana na wazee wenzake wanamshangaa dogo alivyong'ang'ania sahali la ubwabwa!Hapo Mwigulu ana mwombea au ? Naye kazidi kujinenepea apunguze kula ovyo na afanye mazoezi ugua pole upone haraka uendelee na majukumu yako
Pole zake, ila huo mwili haoufai kwa kijana anaejitambua.
Huwezi kunenepeana kama mtu asiekuwa na majukumu.
Kijana wa kileo?
Tena muenezi wa chama tawala?
No.
nakumbuka slaa alivyo angukq chooni kule mwanza