Nape aimba: Uamsho bye bye!

Nape aimba: Uamsho bye bye!

Akiuchangamsha umati wa wana CCM hapo Kizota, nimemsikia Nape akiimba kwa hamasa kubwa, huku akishangiliwa na umati wa mkutano huo:
Uamsho bye bye!
Uamsho bye bye!

Ningependa kukubaliana naye kwa dhati, ila kuna aliyekusudiwa?

ALAMA+ZA+TAIFA+LA+TANZANIA.jpg


Mama Karume (MAMA YANGA) na Mama Nyerere

Wanuna?
 
Nilikuwa nafuatilia matokeo ya uchaguzi ccm. Baada ya kutangazwa mwenyekiti na makamo mwenyekiti, Nape akaaanza kuimba" uamsho bye bye".
Hii ina maana gani? Kuwa uamsho ni sehemu ya ccm na leo wameshindwa? Nisaidieni wakuu.
 
Uamsho na uenezi wapi na wapi au wote wanaeneza maovu yao? Huenda Nape anawaonea wivu wenzake kwa walivyopanda chati wakati chama chake ndicho kiliwalea bila kujua watakigeuka.
 
Mimi nimeshindwa kumwelewa. Ina maana uamsho ni ccm?
 
Mimi nimeshindwa kumwelewa. Ina maana uamsho ni ccm?

Kile kilikuwa kijembe cha uhakika kwa viongozi fulani ndani ya CCM , toka Zanzibar waliokipigia chapuo hicho kikundi cha Uamsho.
Sasa kiongozi wao kaondoka nadarakani ndani ya chama- ndiyo bye bye yenyewe!
 
Akiuchangamsha umati wa wana CCM hapo Kizota, nimemsikia Nape akiimba kwa hamasa kubwa, huku akishangiliwa na umati wa mkutano huo:
Uamsho bye bye!
Uamsho bye bye!

Ningependa kukubaliana naye kwa dhati, ila kuna aliyekusudiwa?

Hizi ndizo akili za viongozi wa ccm
 
Asilimia kubwa ya wanamagamba wana vipaji vya kuzaliwa vya miziki yenye asili ya Taarabu na Mipasho..... Sijui kwa nini hawaendelezi vipaji vyao wanarukia kwenye siasa?
 
Nape alisema Mafisadi bye bye.....Uamsho bye bye..... Hapo alilenga akina nani????
 
ALAMA+ZA+TAIFA+LA+TANZANIA.jpg


Mama Karume (MAMA YANGA) na Mama Nyerere

Wanuna?

hii inamaanisha kuwa mwanaume kaumbiwa mateso na ndio maana huwa tunakufa na kuwaacha wenza wetu. Ingekuwa vipi kama ni hawa waliwahi kutangulia mbele za haki?
 
Hilo ndilo analoweza kufanya, bora wamteue kuongoza TOT baada ya marehemu John
 
Alikusudia kumsema Karume,
na karume alimjibu kupitia hotuba yake ila wachache wenye akili ndo waligundua hili.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Jamani kumbe uzeeni mme na mkewe hufanana! angalia sura ya mama nyerere na hayati mumewe jinsi walivyofanana?

Wake huwa VIJANA saidi ya WAUME au UMEOA MKE MKUBWA zaidi yako then Utapata Utakacho....
 
Back
Top Bottom