masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,605
- 14,537
Akiuchangamsha umati wa wana CCM hapo Kizota, nimemsikia Nape akiimba kwa hamasa kubwa, huku akishangiliwa na umati wa mkutano huo:
Uamsho bye bye!
Uamsho bye bye!
Ningependa kukubaliana naye kwa dhati, ila kuna aliyekusudiwa?
Uamsho bye bye!
Uamsho bye bye!
Ningependa kukubaliana naye kwa dhati, ila kuna aliyekusudiwa?