Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,127
- 6,925
Alisemaje Mkuu?Alikusudia kumsema Karume,
na karume alimjibu kupitia hotuba yake ila wachache wenye akili ndo waligundua hili.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Alisemaje Mkuu?Alikusudia kumsema Karume,
na karume alimjibu kupitia hotuba yake ila wachache wenye akili ndo waligundua hili.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Alaa kumbeee! ndio maana uamsho walikuwa na confidence ile!! walijua Karume anawalinda na kusukuma mapambano kutokea ndani ya chama.UAMSHO WASHINDWE NA WALEGEE.Kile kilikuwa kijembe cha uhakika kwa viongozi fulani ndani ya CCM , toka Zanzibar waliokipigia chapuo hicho kikundi cha Uamsho.
Sasa kiongozi wao kaondoka nadarakani ndani ya chama- ndiyo bye bye yenyewe!
Nilikuwa nafuatilia matokeo ya uchaguzi ccm. Baada ya kutangazwa mwenyekiti na makamo mwenyekiti, Nape akaaanza kuimba" uamsho bye bye".
Hii ina maana gani? Kuwa uamsho ni sehemu ya ccm na leo wameshindwa? Nisaidieni wakuu.
Tena Mlezi na mratibu wa shughuli zao visiwani na bara Maalim Seif na CUF yao - Makamu wa Rais! Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako. Hivi hii nchi ina Usalama wa Taifa kweli?Uamsho uko chini ya cuf, huo ndo ukweli mchungu kumeza!
Nilikuwa nafuatilia matokeo ya uchaguzi ccm. Baada ya kutangazwa mwenyekiti na makamo mwenyekiti, Nape akaaanza kuimba" uamsho bye bye".
Hii ina maana gani? Kuwa uamsho ni sehemu ya ccm na leo wameshindwa? Nisaidieni wakuu.
. .......hilo ndio jibu......kwamba uamsho ni ccm na ccm ni uamsho........ .
Kwa uamsho ni dini au ni kikundi cha kigaidi?nape ni mdini sana
Huyu mama alishawahi kutangaza hazarani kuwa anaunga mkono uamsho!Na Mwenzake wa Zanzibar - Mama YANGA
Kwani CUF walikuwepo mkutanoni?Uamsho uko chini ya cuf, huo ndo ukweli mchungu kumeza!
Alikusudia kumsema Karume,
na karume alimjibu kupitia hotuba yake ila wachache wenye akili ndo waligundua hili.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hilo ndilo analoweza kufanya, bora wamteue kuongoza TOT baada ya marehemu John