Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,944
- 703
Hizi ni porojo tu, kama anaamini ana ushahidi wa Marando kukana hilo na wakati huo Nape akijua kuwa Marando alimchafua, kwani nini hasiende MAHAKAMANI kwa kuchafuliwa jina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni porojo tu, kama anaamini ana ushahidi wa Marando kukana hilo na wakati huo Nape akijua kuwa Marando alimchafua, kwani nini hasiende MAHAKAMANI kwa kuchafuliwa jina?
We pay him for that,ataitangaza chadema kila anapo enda,hata pale ambapo haijasikika
atakua kipaza sauti chetu,..
in return,wananchi watataka kujua "hawa chadema ni kina nani,kwa nini ccm ina wahofia"
then....
Dr. akipita huko,waka fananisha na pumba za Nepe neyuye watajua nani wa kufuata,
nani wa kutosa
Haa ha ha..si-hasa za Marando ni noooma, naona anauma huku na kupuliza kule mwisho wa siku anapata kotekote, kaazi kwelikweli!!
CCM imefanya vizuri sana kumpata Nape, so far ameifanya kazi yake vizuri sana.