Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Huyo anacheza kiduku cha CHADEMA, That is all he has been doing!
Huyu Marando no double agent; MUDA SI MREFU CDM ITAKOMA KUMPA CHEO; MUULIZENI LYATONGAHuyo anacheza kiduku cha CHADEMA, That is all he has been doing!
hongera nape na hongera jk kwa kumteua nape.
amewashika pabaya chadema. anakula nao sahani moja.
ukiona hapa jf wanapiga kelele jua chadema imekamatwa pabaya.
hata daktari wa wakatoliki kapotea baada ya kuumbuliwa na nape na mshahara bila kodi.
nape udumu baba. chadema wanafiki wakubwa.
marando anapinga ufisadi kwa kumwakilisha fisadi jeetu.
hongera nape na hongera jk kwa kumteua nape.
amewashika pabaya chadema. anakula nao sahani moja.
ukiona hapa jf wanapiga kelele jua chadema imekamatwa pabaya.
hata daktari wa wakatoliki kapotea baada ya kuumbuliwa na nape na mshahara bila kodi.
nape udumu baba. chadema wanafiki wakubwa.
marando anapinga ufisadi kwa kumwakilisha fisadi jeetu.
hongera nape na hongera jk kwa kumteua nape.
amewashika pabaya chadema. anakula nao sahani moja.
ukiona hapa jf wanapiga kelele jua chadema imekamatwa pabaya.
hata daktari wa wakatoliki kapotea baada ya kuumbuliwa na nape na mshahara bila kodi.
nape udumu baba. chadema wanafiki wakubwa.
marando anapinga ufisadi kwa kumwakilisha fisadi jeetu.
lakini tuwe realistic. Si kwamba Nape anayo alternative. atazungumza nini? anaowahutubia hali yao ni ngumu kwelikweli. vitu bei juu, kila kitu hovyo. na akijaribu kuwa realistic, ataishia kufoka juu ya ubadhirifu, uzembe, uozo unaofanywa katika serikali ya chama chake cha CCM, ambayo ndiyo kelele ya CHADEMA. ndivyo ilivyomtokea Pinda alipokwenda Kagera "kufuta nyayo" za CHADEMA. aliishia kukemea tu uozo ambao ndio CHADEMA walikuwa wanazungumzia. hivi kwa vyovyote vile, Nape hana ujanja: ama akemee uozo wa serikali ya CCM, ambayo ndiyo kazi wanayoifanya CHADEMA, au atafute namna ya kuiongelea CHADEMA moja kwa moja. hawezi kukwepa ama kuiongelea CHADEMA, au kurudia maneno ya CHADEMA.
unalipwa tsh. ngapi?
kama kweli walio hudhuria ni "maelfu" afu akashangiliwa na "mamia"
basi wananchi wanajua pumba ni zipi na mchele ni upi!!!!!!
hongera nape na hongera jk kwa kumteua nape.
amewashika pabaya chadema. anakula nao sahani moja.
ukiona hapa jf wanapiga kelele jua chadema imekamatwa pabaya.
hata daktari wa wakatoliki kapotea baada ya kuumbuliwa na nape na mshahara bila kodi.
nape udumu baba. chadema wanafiki wakubwa.
marando anapinga ufisadi kwa kumwakilisha fisadi jeetu.
Nitarudia mara kwa mara hivi sisi ni wavivu wa kusoma au vipi?Nape adai kunasa nyaraka za Marando Saturday, 04 June 2011 09:49 eace:
Mwandishi Wetu, Mpanda
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amedai kuwa amenasa barua za mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, akikana kuwaambia Watanzania kuwa yeye (Nnauye) alifaidika na fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania.
Nape aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza katika mkutano mkubwa wa hadhara, uliofanyika mjini Mpanda, mkoani Rukwa na kuhudhuriwa na maelfu ya wakazi wa mji huo na vitongoji vyake.
"Kimsingi namheshimu sana Marando, lakini kitendo cha kuchanganya uwakili na siasa karibuni kitamgharimu, hasa siasa za majitaka za Chadema," alisema Nape huku akishangiliwa na mamia ya wananchi waliofurika katika mkutano huo.
Alisema kufuatia hatua yake ya kupata ushahidi wa nyaraka, anamtaka Marando kuchagua ama kufanya siasa au kuendelea na kazi yake ya uwakili kwa sababu kufanya vyote kwa pamoja kutamgharimu.
Nape alisema madai ya Marando dhidi yake, aliyatoa hivi karibu baada ya yeye kumtaka Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilibrod Slaa, aache unafiki kwa kueleza sababu za kulipwa na chama chake Sh 7.5 milioni kila mwezi tena bila kuzilipia kodi.
Alisema rai yake wa Dk Slaa, ilitokana na ukweli kwamba aliwahi kupinga wabunge kulipwa mshahara usiofikia kiasi hicho kwa kwa maelezo kuwa ni mkubwa.
Alisema badala ya raia hiyo kujibu na Dk Slaa, Chadema ilimtumia Marando ambaye alitoa tuhuma kwamba Nape ni miongoni mwa waliofaidika na fedha za EPA wa msingi huo ni mmoja wa mafisadi.
Kwa mujibu wa Nape, katika madai yake Marando alidai kuwa yeye (Nape) alipewa fedha hizo za wizi na mfanyabiashara mmoja wa jijini Dar es Salaam.
"Nilishituka sana kusikia mtu ninayemheshimu akitoa tuhuma hizo mzito, nikajua ndio matatizo ya kuchanganya siasa na uwakili, siasa zenyewe za Chadema. Lakini cha ajabu baada ya siku chache Marando amemwandikia mfanyabiashara huo, akikanusha taarifa ile na kuisukumia Chadema,"alisema Nape.
"Nadhani ni muhimu Marando akachagua kufanya siasa au kuendelea na kazi yake ya uwakili kabla aibu kubwa haijamkuta," alisistiza.
Akionyesha kujiamini kuwa ana nyakaraka za uthibitisho, Nape alisema anazo barua za mawasiliano kati ya mfanyabiashara huyo na Marando, zinazoonyesha wakili huyo alikataa katakata kuhusika na kauli iliyonukuliwa kwenye vyombo vya habari.
Kwa mujibu wa Nape barua hizo ni pamoja na ya Mei 16 mwaka huu iliyoandikwa na mfanyabiashara huyo kwenda kwa Marando ikimtaka aeleze sababu za kumhusisha naye katika tuhuma za fedha za EPA.
"Wananchi yapo mengi kama hili ambayo viongozi wa Chadema wanawadanganyeni kupitia kwenye mikutano au vyombo vya habari, lakini kwa kutojua baadhi yenu huwa mnawaami . Kitendo hiki kinamfanya Marando na chama chake wasiaminike kwa umma," alidai.
Nape alisema, bila aibu Marando anamkana Antoni Komu na chama kuwa hakuunga mkono tuhuma hizo dhidi yake.
Source: Mwananchi
Miaka yote hii hamsini ya uhuru hujaona pumba na nchele tu? Labda tukupe mia!