Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,564
Nimependa maswali yako gfsomwin hebu tusubiri jibu maana hata mimi yamenivutia!!!
Ameshajibu hapo juu
Nimependa maswali yako gfsomwin hebu tusubiri jibu maana hata mimi yamenivutia!!!
Ndoa ndoano mdogo wetu tulikueleza mapema unahitaji muda kumuangalia mtu wewe ukaharakisha kisa bwana ana usafiri na tai ya benki shingoni, Usilalamike hizo ni siri za ndani ya nyumba yako hapo ni sawa na kujivua taulo hadharani!
Nilikwambia kuolewa ni uamuzi mzito ambao hutakaa uufikirie mara nyingine isipokuwa katika mazingira flan flan, pole dada lakini hayo ndio maisha, piga magoti Muombe Mungu wako naye atakupa njia ya kutokea. Nisisikie ukilalamika tena kupitia humu sawa? ala!
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
Mbona kawaida tu!
Ndio gharama za mapenzi hizo.
Pole sana dada yangu. Maisha ya ndoa kawaidi siyo rahisi kama watu wengi wanavyoyachukulia kabla ya kuona. Ndoa ni mtihani, ukicheza utashindwa. Kumbuka wewe ndiye KATIBU wamaisha yenu ya ndoa, wewe ndiye muhimili wa familia. Kwanza unatakiwa kuwa mpole, mvumilivu bila kukata tamaa, kuwa karibu sana na mmeo, ongeanaye kwa upendo na kushirikishiana mipango ya familia, yawezeka naye ana stress zaidi yako, kama unavyosema kuwa ana madeni makubwa, yawezekana pesa ilitumika bila mpangilio, saidianeni kutatua swala hilo, pia muwe na family plans za muda mfupi na muda mrefu, mambo yatakwenda sawa. Mshirikishe Mungu katika mipango yenu, matatizo na raha. Mtashinda.
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
tulikuwa kwenye relation for 1 year and I got pregnant so we decided to get married though haikuwa Kwenye plan ya muda mfupi,
2)thanks God hanywi pombe wala Sio mtu wa ofa
3)Alikuwa anataka sana ndoa hata nilipopata mimba alifurahi Sana coz alijua ameshanikamata
4)sidhani Kama ana siri nadhani ni hayo mambo ya finacial may be anaona akiniambia ntamdharau
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
tunashukuru kwa kufahamu kwamba mlikua na magari mawili, na pa kwamba shemeji ni manager wa bank..back to the point..pale mlipokua mnafunga ndoa ulipoambiwa for better or for worse..ndo hapo palipofikia sasa kwaio vumilia...ndo life..hilo usipende tu pale mambo yanapokua shega...ni hayo tu...mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
kha!! unajua vijana wanaingia kwenye madeni maana unakuta bila mkwanja hupati K jamani!!! mara mkopo wa gari ili tuu aweze pata totoz mjini maana bila gari mwana totoz wanakuona huna kitu...nani akapande dala wakati kufuli hawavai lol.
sasa bii dada wewe hii ndio ilishakula kwako na hivyo kubaliana na hilo jambo. la msingi hapa nikuomba jamaa awe open abt his financial situation...ila kuwa tayari kusoma negative numbers hapo. baada ya hapo wewe itabidi uwe minster of finance hapo nyumbani maana jamaa inaelekea pamoja na kuwa bank manager somo la pesa lilipita kushoto. patience is needed hapa.
dada zetu jamani tunaomba mpunguze tamaa maana vijana wanajiweka kwenye madeni ili kuwapata magoma.
if umeingia kwenye ufalme wa mungu ni mwendo wa kuimba na kucheza???