mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,