ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
- Thread starter
- #41
Mkuu hilo ni wazo zuri ila tatizo mimi sitapata hio nafasi ya kwenda UkraineUsiangaike nende Ukraine miezi niwili tu lazima upate mtoto mkali wa kitasha..I mean mkali kweli kweli, nilienda kama nwanafunzi majuzi kati kama kawaida idadi ya wanaume ni kubwa saana kuliko wanawake na miongoni mwa ishu ambazo ni heshima kule Ukraine ni mwanamke kuolewa na kuwa na Familia yake na kizuri zaidi wanawake wa Ukraine family ndo the first priority mume wake na mwanae kwanza then wengine wanafuata baadae.
Matter od fact, Black and white combination kwa sasa ni fasheni pale Ukraine pia wameaminishwa kwamba most of the mixed race kids are very attractive and succesfuly and na pia samu yao ina uwezo wa kupoteza magonjwa ya ukoo kama ukoma, kisukari e.t.c wahindi na macho madogo walikuwa wanatuonea gere vigori vya kitasha vinavyojigonga kwa Wamatumbi.
As long as unataka kuoa nakushauri tafuta vekesheni ya Ukraine au Bulgaria utawakimbia mademu wa kitasha maana kule kuna hadi agency of marriage girls wanataka ndoa at any cost.
Hasta la mañaña.
Tayari ni mwajiriwa wa hii serikali ni askar jeshi hivo ni ngumu
Mimi nataka aliyetoa tayari kuishi hapahapa bongoland