Kama huna hela sahau, hizo ni njaa tu.. Kama kweli hujui sehem ya kuwapata hao wazungu hadi usaidiwe basi wewe ni jipuHivi kwa mfano nimemua ni mchumbie mchumba wa kizungu mwenye maisha ya kawaida nawezaje kumpata?. . Namzungumzia mwenye utayari wa kuishi hapahapa Tanzania na kuendena angalau kidogo na taratibu za jamii ya hapa. Nataka nijue ni maeneo gani wanajilengesha wazungu wengi wa namna hio
ingia DATANTA.COM, wapo wengi sana huku, uvumilivu wako tu, na ngeli yakoHivi kwa mfano nimemua ni mchumbie mchumba wa kizungu mwenye maisha ya kawaida nawezaje kumpata?. . Namzungumzia mwenye utayari wa kuishi hapahapa Tanzania na kuendena angalau kidogo na taratibu za jamii ya hapa. Nataka nijue ni maeneo gani wanajilengesha wazungu wengi wa namna hio
Dah Via Via ,Masai camp ,Watishi wa kumwaga yeye tu na roho yake ,sema sijui kama Masai camp bado iko kama zamaniMkuu kama upo serious kuwa unachotaka ni mzungu tu...Nenda Arusha nakumbuka kuna hotel ilikuwa inaitwa Via Via pale wazungu hadi walikuwa wanajiuza kabisa sembuse kuolewa unachukua faster...Kuna club ingine ilikuwa inaitwa Masai Camp palikuwa panapigwa disco walikuwa wazungu wengi mno na wengi wao walikuwa na ule mtazamo kuwa wanaume wa kiafrica wamehaliwa mizigo so kila mzungu alikuwa anataka kuprove so walikuwa easy go sana....
Longtime sana hata mimi sijui kama bado inawika...Nakumbuka enzi hizo Mavolunteer walikuwa wakutosha unamkchukua mpaka asubuhi unachofanya unawacha namba yako kwa huyo mwenyeji aliekuwa nao ili akutafute incase ukipotea na mtasha...Dah Via Via ,Masai camp ,Watishi wa kumwaga yeye tu na roho yake ,sema sijui kama Masai camp bado iko kama zamani
Dah enzi masai iko poa ni wakati Colubus club nayo ikiwa kwenye chati yaani jumamosi mnaanzia Sega world kwa Manish pembeni hapo kuna wahindi walikua wanatengeneza chips na kuku na mishikaki ,mnashuka Masai camp then night kubwa ColubusLongtime sana hata mimi sijui kama bado inawika...Nakumbuka enzi hizo Mavolunteer walikuwa wakutosha unamkchukua mpaka asubuhi unachofanya unawacha namba yako kwa huyo mwenyeji aliekuwa nao ili akutafute incase ukipotea na mtasha...
ha ha haaaaaa, akipata aikusahau. Auunganishe hata na mjomba wake. ha ha ha haaaa. kumbe mpo wengi sema tuu naanzaje. ha ha haaaa.Upo mkoa gani, kama arusha kafanye kwenye kampuni za tour....
Kama kwingineko fuga rasta uwe unaenda enda beach utawakuta, ukimpata usinisahau uniunganishe hata na mjomba wake
Hatare sana Colubus enzi hizo kukiwa na kumbi mbili za wazungu na waswahili ukichoka kucheza kwa waswahili unaenda kwa wazungu...Arusha is a place to be..Dah enzi masai iko poa ni wakati Colubus club nayo ikiwa kwenye chati yaani jumamosi mnaanzia Sega world kwa Manish pembeni hapo kuna wahindi walikua wanatengeneza chips na kuku na mishikaki ,mnashuka Masai camp then night kubwa Colubus
Vingunguti machinjioni. Wapo kibao wanagombaniana makongoro na utumbo.Hivi kwa mfano nimemua ni mchumbie mchumba wa kizungu mwenye maisha ya kawaida nawezaje kumpata?. . Namzungumzia mwenye utayari wa kuishi hapahapa Tanzania na kuendena angalau kidogo na taratibu za jamii ya hapa. Nataka nijue ni maeneo gani wanajilengesha wazungu wengi wa namna hio
No doubt man ,Arusha is definitely a place to be ,Hatare sana Colubus enzi hizo kukiwa na kumbi mbili za wazungu na waswahili ukichoka kucheza kwa waswahili unaenda kwa wazungu...Arusha is a place to be..
Ndo nini sasa mbona sijakuelewa mkuuKama nakuona vile uko busy unajenga nyumba hewani
Via Via hadi leo hii wapo wanajiuza ni yeye na dola zake tuMkuu kama upo serious kuwa unachotaka ni mzungu tu...Nenda Arusha nakumbuka kuna hotel ilikuwa inaitwa Via Via pale wazungu hadi walikuwa wanajiuza kabisa sembuse kuolewa unachukua faster...Kuna club ingine ilikuwa inaitwa Masai Camp palikuwa panapigwa disco walikuwa wazungu wengi mno na wengi wao walikuwa na ule mtazamo kuwa wanaume wa kiafrica wamehaliwa mizigo so kila mzungu alikuwa anataka kuprove so walikuwa easy go sana....
Mkuu achana nao hawa, wengine wana vijiba vya roho, wadada wanaona umewashusha, Mimi nanaye mchumba WA Kizungu Na baadaye mwaka huu nakwea pipa kwenda kukutana, maisha Ni kupanga Na kupanga Ni kuchagua, Kama ambavyo umeuliza, Na Wao pia huuliza hivyo hivyo kuwa watapata wapi Mwanaume Mwafrica kwa ajiri ya ndoa.....Nihakikishie Tu Kama upo serious nikuonyeshe pakuwapata, wapo Bwelele....kwanza ukitokeza Tu wanakugombania!!! Dunia imekua kijiji sasa mkuu!Kila mmoja ana hulka zake..period
Cha msingi ni maisha namna ulivopanga wewe mimi nataka mwanamke ila awe wa kizungu na tena ni vizuri asitoke kwenye familia yenye uwezo
Nenda sanasana Arusha,maeneo kama ya Masai Camp kijenge,mitaa ya njiro na Ilboru huko wapo wengi na wanajichanganya.Kila mmoja ana hulka zake..period
Cha msingi ni maisha namna ulivopanga wewe mimi nataka mwanamke ila awe wa kizungu na tena ni vizuri asitoke kwenye familia yenye uwezo