Napata Shida

Napata Shida

Mjomba
umewakomeshaje,walahi tena nakuambia asilimia kubwa wapo hvyo japo wapo
watakaojifanya wanaponda ila ndo wale wale mesej sent,wengi watakausha
ila ndo hvyo roho inawauma,aminia mkuu,mawazo hayo ndo yng,wanaboa hawa
mademu waliotetereka kiuchumi wanaotegeameg slop
 
Ha ha ha ha..Tatizo lenu vijana hela zenu mnazicikilizia sana fedha zenu.. Mnataka mkubaliwe kwa mashairi tu na swaggas za bure.. Enzi zetu ndo mashairi yalikuwa yanafanya kazi.. Ciku hizi mjitahidi kuhonga vijana..

Nihonge ili iweje wakt kuna mijimama inahitaj service tena yenyew ndo inanipa hela, sihangaiki na vinuka mkojo naenda kwa mijimama ya akiri nakula vyote had 0713
 
No money no honey, tumehamia dijitali kama unataka wa analojia rudi kijijini kwa wazazi wako, unless otherwise ukitaka vya bila gharama ni sawa na kusubiri meli stesheni utakesha!:flypig:

Hakuna shida, ukifikisha age ya 35 huna mwanaume hata anaetaja kukuoa tu unaanza kuvunja nazi na kwenda kwa Sangoma
 
Hapo umenena kaka,nina rafiki yangu alipigwa kibuti na mchumba'ake kisa msichana anadai hayuko tayari kwenda clinic kwa daladala kwa kuwa rafiki yangu ndo kwanza alikuwa kaajiriwa na hana hata gari.
Nishawahi kuwasikia mabinti wakati niko chuo wanadai eti wao kwenye ndoa ni KWA RAHA TU,WAKATI WA SHIDA mwanaume peke yake!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Ndomana sitak hata kuoa japo nina uwezo, nawagegeda tu nakuwatimua asbh maana washenzi sana hawa viumbe
 
yote hayo kupenda 45yrs ni umasikini tu..kwani hawataki kushughulisha akili na wanaiacha kwenye comfort zone,na kujisahau miaka inaenda wanatakiwa kufanikisha malengo yao.."you wil loose a lot of money chasing women,but you will never loose women chasing money". HIV/AIDS KILLS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom