mamseri
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 707
- 292
Kwanza naona wote wanakupotosha wewe uliambiwa mila za kwenu ndio chanzo, sasa bila kwenda kumaliza hizo mila hakika hutasimama katika kipato chako. Kwanza jiulize ndoto huwa zinatoka wapi unahitaji ushauri upo gizani. Ndoto ni taarifa kutoka kwa malaika wako Mungu aliokujaalia sasa umeonyeshwa maisha yalivyo Ili utafute ufumbuzi. Hayo mambo ya bibilia hayamsaidii mtu kama umeacha mila na desturi zako