Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 922
- 1,635
Habari wana Jamii,Natumaini Mko salama
Ngoja Niende Moja kwa Moja Katika Mada
Mimi Ni Kijana.
Katika Utafutaji Wangu Wa Maisha Nakumbwa Na Hili Tatizo.
Sijaajiliwa,Naishi Kimchongo Mjini (Dar) situmii Nguvu sana Kupata pesa,Pia Situmii Akili nyingi sana Kupata Pesa,Sipati Pesa Kwa njia Haramu,Sina mpenzi mcharuko Yaani Kiufupi sina Mpenzi Kabisa,Sinywi Pombe,Sivuti sigara au Bangi,Sina Anasa Yoyote Ile Hata Mpira,Movie Sifatilii,Tabia Mbovu Sina zaidi Ya Tabia ya Kununua Madada Poa wa bei ghali wa Exotic Tanzania,Telegram,Tinder Na Dangulo La sinza Africa Sana.
Ambapo Pia Nimeapa Kuiacha Baada ya Kuona Natumia pesa Nyingi Na Pia Naelekea Kubaya Kwani Nimeshaifanya Mara 8 Tangu Nilipoanza Kuifanya Mwaka Jana.Mitandao yote ya Madada poa Nimeshaifuta na Magroup Nimeleft Na namba zao Nimefuta.
Yaani Kiufupi Sina kitu Cha Kunifanya Yanitokee yote Haya Yalonikumba.Ukimwi au Jongwa Lolote Hatari Nashukuru Mungu sina Nimepima Hivi Karibuni
Sikuamini Mpaka Siku Ya Jana Nilipokutana Na Jamaa zangu Ambao Huwa Hatuonani Mara Kwa Mara Tunaonana Mara mbili au Tatu kwa Mwezi.
Waliponiambia "Mbona Umekonda Sana. Sura Inakosa Nuru Alafu mtu Akikuangalia anaona Kama Unamaisha Magumu sana.Yaani umebaki Mifupa" Niliumia Sana Nikijichek Ni kwel,Na Pia Kuna Watu walishawahi niambia Mwaka Jana Mwishoni Lakini sikuwaamini.Leo Nimeamini Kabisa
Tusikazanie Sana kwenye Kununua Madada Poa Kwani Mbali na Hivo Sina anasa Kabisa.Naomba Ushauri wangu Ndungu zangu Nifanyaje Kurudisha Mwili wangu Kwani Afya Ndo Kila kitu Kwenye Maisha.
Kama kuna Dawa ya Kuongeza Mwili(Uzito) Naomba Kujuzwa Nitainunua.Au Kama Kuna Formula Yoyote Ile Ya Kufata.
Lakini Kama Kuna Dawa au Food Supplement ndo Itakuwa Vizuri zaid.
Nakula Mara Mbili au Tatu Na Huwa nakula Kidogo Kiukweli sizingatii sana kula Kwani Kupata njaa Kwangu Ni shida Mpaka nikae Mda mrefu sana bila kula. Sina mda maalumu Wa Kupumzika Ila Napata muda Mrefu wa Kupumzima tu Ila Sio muda Maalumu.
Kwani Utumiaji wangu wa Laptop Na Mitandao ya Kijamii ndo Upataji wangu Wa Pesa.Kwa Hiyo Najiamulia mm Muda gan Nipumzike Ila Mara nyingi nalala saa 6-7-8 Usiku Naamka Saa 11 Asubuhi Kisha Saa 12:30 Nalala tena Mpaka saa 3 Asubuhi.
Umri-Miaka 22
Urefu-Sio mrefu
Jinsia-Wa kiume
Nimeeleza Yote Ili Mjue Ratiba Zangu,Tabia Yangu ili Mjue Wapi Pa Kunishauri au kunisaidia
Madaktari,Makaka Zangu, Wajomba Zangu,Baba zangu, Babu zangu Pia, Naomba msaada Wenu Mimi Kijana wenu Kama kuna Dawa, Food Supplement au formula Yotote ya Kufuata Naomba Kujuzwa Ili Nirudishe Afya Yangu Kwa Sasa Natia aibu Hata Nikitembea.
Kama Usiponiangalia Sura Naonekana Kama Kijana wa 16-17 Years Nilivyombembamba
Msaada Tafadhari Wakubwa zangu
Ngoja Niende Moja kwa Moja Katika Mada
Mimi Ni Kijana.
Katika Utafutaji Wangu Wa Maisha Nakumbwa Na Hili Tatizo.
Sijaajiliwa,Naishi Kimchongo Mjini (Dar) situmii Nguvu sana Kupata pesa,Pia Situmii Akili nyingi sana Kupata Pesa,Sipati Pesa Kwa njia Haramu,Sina mpenzi mcharuko Yaani Kiufupi sina Mpenzi Kabisa,Sinywi Pombe,Sivuti sigara au Bangi,Sina Anasa Yoyote Ile Hata Mpira,Movie Sifatilii,Tabia Mbovu Sina zaidi Ya Tabia ya Kununua Madada Poa wa bei ghali wa Exotic Tanzania,Telegram,Tinder Na Dangulo La sinza Africa Sana.
Ambapo Pia Nimeapa Kuiacha Baada ya Kuona Natumia pesa Nyingi Na Pia Naelekea Kubaya Kwani Nimeshaifanya Mara 8 Tangu Nilipoanza Kuifanya Mwaka Jana.Mitandao yote ya Madada poa Nimeshaifuta na Magroup Nimeleft Na namba zao Nimefuta.
Yaani Kiufupi Sina kitu Cha Kunifanya Yanitokee yote Haya Yalonikumba.Ukimwi au Jongwa Lolote Hatari Nashukuru Mungu sina Nimepima Hivi Karibuni
Sikuamini Mpaka Siku Ya Jana Nilipokutana Na Jamaa zangu Ambao Huwa Hatuonani Mara Kwa Mara Tunaonana Mara mbili au Tatu kwa Mwezi.
Waliponiambia "Mbona Umekonda Sana. Sura Inakosa Nuru Alafu mtu Akikuangalia anaona Kama Unamaisha Magumu sana.Yaani umebaki Mifupa" Niliumia Sana Nikijichek Ni kwel,Na Pia Kuna Watu walishawahi niambia Mwaka Jana Mwishoni Lakini sikuwaamini.Leo Nimeamini Kabisa
Tusikazanie Sana kwenye Kununua Madada Poa Kwani Mbali na Hivo Sina anasa Kabisa.Naomba Ushauri wangu Ndungu zangu Nifanyaje Kurudisha Mwili wangu Kwani Afya Ndo Kila kitu Kwenye Maisha.
Kama kuna Dawa ya Kuongeza Mwili(Uzito) Naomba Kujuzwa Nitainunua.Au Kama Kuna Formula Yoyote Ile Ya Kufata.
Lakini Kama Kuna Dawa au Food Supplement ndo Itakuwa Vizuri zaid.
Nakula Mara Mbili au Tatu Na Huwa nakula Kidogo Kiukweli sizingatii sana kula Kwani Kupata njaa Kwangu Ni shida Mpaka nikae Mda mrefu sana bila kula. Sina mda maalumu Wa Kupumzika Ila Napata muda Mrefu wa Kupumzima tu Ila Sio muda Maalumu.
Kwani Utumiaji wangu wa Laptop Na Mitandao ya Kijamii ndo Upataji wangu Wa Pesa.Kwa Hiyo Najiamulia mm Muda gan Nipumzike Ila Mara nyingi nalala saa 6-7-8 Usiku Naamka Saa 11 Asubuhi Kisha Saa 12:30 Nalala tena Mpaka saa 3 Asubuhi.
Umri-Miaka 22
Urefu-Sio mrefu
Jinsia-Wa kiume
Nimeeleza Yote Ili Mjue Ratiba Zangu,Tabia Yangu ili Mjue Wapi Pa Kunishauri au kunisaidia
Madaktari,Makaka Zangu, Wajomba Zangu,Baba zangu, Babu zangu Pia, Naomba msaada Wenu Mimi Kijana wenu Kama kuna Dawa, Food Supplement au formula Yotote ya Kufuata Naomba Kujuzwa Ili Nirudishe Afya Yangu Kwa Sasa Natia aibu Hata Nikitembea.
Kama Usiponiangalia Sura Naonekana Kama Kijana wa 16-17 Years Nilivyombembamba
Msaada Tafadhari Wakubwa zangu