Naondoka,nikionekana Mods nipigeni ban!!!

Naondoka,nikionekana Mods nipigeni ban!!!

Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!
... ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
Mandieta, hivi Mungu anaangalia siku 28 tu za utakatifu?
 
mandieta karibu kule chit chat
kule utapata hata mke wa kukupikia futari.
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
 
Last edited by a moderator:
Swaumu huweza kuharibika iwapo mfungaji atafanya yafuatayo:
1: kula ama kunywa kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
2: kuingia ama kuingiliwa kimapenzi kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
3: kutoa mbegu za uzazi/ kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
4: kuharibu funga ya mwingine kwa makusudi.
kwa hiyo ndugu zangu kuingia jamii forum ukiwa na nia njema hakuwezi kuharibu funga ya mwislam awaye yote yule. kawadanganye watoto wenzio.


ahaa kumbeeeee inaonekana huyu akiingia humu namba tatu (3) humpata. Mwacheni bana asije akaharibia humu swaumu yake.
 
Swaumu huweza kuharibika iwapo mfungaji atafanya yafuatayo:
1: kula ama kunywa kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
2: kuingia ama kuingiliwa kimapenzi kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
3: kutoa mbegu za uzazi/ kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
4: kuharibu funga ya mwingine kwa makusudi.
kwa hiyo ndugu zangu kuingia jamii forum ukiwa na nia njema hakuwezi kuharibu funga ya mwislam awaye yote yule. kawadanganye watoto wenzio.
Kwahiyo juwa lisipochomoza na kukawa na mawingu tupu hayo yote hapo juu ruksa!!
 
nakutakia kipindi chema asa wakati huu wa kubadili ratiba ya chakula.
 
Afadhali uende tupumzike na maneno yako ya uongo na unafki 😛ainkiller:
 
Kwahiyo juwa lisipochomoza na kukawa na mawingu tupu hayo yote hapo juu ruksa!!

jua linapochomoza siku mpya inakuwa imeanza, maana cku hubadilika baada ya kuchomoza jua.
 
Wakati mwingine natamani Allah angekuwa aliagiza miezi mitukufu iwe 7 kwa mwaka. Haijalishi kama hiyo mingine mngeambiwa mle chakula. It seems amani inakuwepo kwa sana miezi hii.
 
Mandieta, hivi Mungu anaangalia siku 28 tu za utakatifu?
Ktk uislam kuna miezi minne mitukufu.
RAJABU,SHAABAN,RAMADHAN,SHAWAL.

Lakini kati ya hiyo minne mmoja ni mtukufu zaidi ambao ni mwezi wa ramadhani,ndio maana huitwa mwezi wa machumo.
 
jua linapochomoza siku mpya inakuwa imeanza, maana cku hubadilika baada ya kuchomoza jua.
Kuna maeneo watu wanakaa hata mwezi bila kuliona juwa, au kwa kukurahisishia tu juwa linachomoza saa ngapi?
 
SWAUMU NJEMA, Mungu akuongoze ukirudi uwe umebadilika na mapepo uliyonayo yakutoke, funga yako ikuletee mabadiliko mema maishani, amin.
 
Mods wabadili sasa waweke utaratibu mpya,badala ya ban,unapigwa fine ya kiasi flani cha pesa.Na usipolipa unaendelea na mapumziko yako.Unadhani ni rahisi kufuatilia member mmoja mmoja kati ya maelfu waliomo humu?
Invisible japo pia watafungua id nyingine hapa tutashindwa waban.
 
Last edited by a moderator:
Swaumu huweza kuharibika iwapo mfungaji atafanya yafuatayo:
1: kula ama kunywa kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
2: kuingia ama kuingiliwa kimapenzi kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
3: kutoa mbegu za uzazi/ kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
4: kuharibu funga ya mwingine kwa makusudi.
kwa hiyo ndugu zangu kuingia jamii forum ukiwa na nia njema hakuwezi kuharibu funga ya mwislam awaye yote yule. kawadanganye watoto wenzio.
Elimu yako ni ndogo sana au hukupata kabisa elimu,na endapo kuna muislam atakayefuata hizi pumba ulizopost hapa eti ndizo pekee zenye kuharibu funga basi utakua na dhima mbele ya allah siku ya hukumu!!
 
Kuna maeneo watu wanakaa hata mwezi bila kuliona juwa, au kwa kukurahisishia tu juwa linachomoza saa ngapi?

kama ni mwelewa utakuwa umenelewa, ila unoleta ni ubishi tu.
 
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
Wahadha asalaam aleykum
 
Unafki mwingine bwana.

Kwa hiyo una-postpone dhambi.

Ndio yale yaleee! Unafunga lakini kila chakula unachokiona unakiweka kwa madhumuni utakula jioni baada ya kufuturu.

Kubadili ratiba ya kula!
 
Back
Top Bottom