CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 946
- Thread starter
- #61
Ameen!Haya mandieta ramadhani kareem!
Nawe pia nenda kamche mola wako na inshaallah allah atakupa afya njema ktk mfungo ili uweze kutimiza nguzo hii muhimu ya dini.
Ameen!Haya mandieta ramadhani kareem!
Sio saba, iwe 12 kabisaWakati mwingine natamani Allah angekuwa aliagiza miezi mitukufu iwe 7 kwa mwaka. Haijalishi kama hiyo mingine mngeambiwa mle chakula. It seems amani inakuwepo kwa sana miezi hii.
Ameen!Nimekuelewa vizuri ndugu Mandieta, it seems uwepo wako humu JF mara nyingi umepelekea wewe kufanya mambo ambayo ni makatazo kwa Mwnyezi Mungu hivyo unaamua kuepuka/kujiepusha na shari. Kama ndivyo basi upo sahihi lakini mimi mzee wa siasa na habari mchanganyiko nitaendelea kuwepo jukwaani Inshallah mwezi mzima huu.
Kila la kheri ndugu yangu na ALLAH atufanyie wepesi katika kutimiza nguzo mojawapo muhimu katika dini yetu.
RAMADHAN KAREEM.
1. Ina maana JF kumejaa maovu na dhambi za kila namna!!!!!!Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!
Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.
Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.
Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
Mi nimeipenda signature yako aisee... lol🙂Wanafki ndio hupenda kuonekana wamefunga kumbe wanashinda na njaa na kunuka midomo tu, funga ni swala lako binafsi na Mungu wako.
Swaumu huweza kuharibika iwapo mfungaji atafanya yafuatayo:
1: kula ama kunywa kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
2: kuingia ama kuingiliwa kimapenzi kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
3: kutoa mbegu za uzazi/ kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
4: kuharibu funga ya mwingine kwa makusudi.
kwa hiyo ndugu zangu kuingia jamii forum ukiwa na nia njema hakuwezi kuharibu funga ya mwislam awaye yote yule. kawadanganye watoto wenzio.
Sijui kwa nini Uislam unashabikia Uzinzi kwa mlango wa nyuma! Ona namba 2 na 3! Uislam ni Mtihani kwa kweli