TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Elimu yako ni ndogo sana au hukupata kabisa elimu,na endapo kuna muislam atakayefuata hizi pumba ulizopost hapa eti ndizo pekee zenye kuharibu funga basi utakua na dhima mbele ya allah siku ya hukumu!!
unapokosoa onyesha uongo upo wapi pia toa ukweli wako. kwa hiyo wewe ulivyofundishwa madrasa ndo ukaambiwa jf inaweza batilisha funga? hovyoo.