Naondoka,nikionekana Mods nipigeni ban!!!

Naondoka,nikionekana Mods nipigeni ban!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
 
Nilidhani unakufuru kwa kusema unaondoka milele! Tangu nimejiunga JF sijawahi kuona mtu aliyeondoka kwa hiari labda kifo. Hata ambao siku zote waliondoka kwa kuaga hawakuweza kuvumilia kuiacha JF walau kwa saa 24! Wengine huona aibu na kubadili IDs. Hata wewe unaweza kuwa unaaga kutotumia ID ya mandieta kwa mwezi huu lakini utaendelea kuwepo kwa zile IDs zingine!
 
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.


Kumbe siku zote ulikuwa humu kuwasababishia wengine ban na kuvuruga amani eeee! nenda bana ikiwezekana usirudi kabisaaaaaaaaaaaa
 
Wanafki ndio hupenda kuonekana wamefunga kumbe wanashinda na njaa na kunuka midomo tu, funga ni swala lako binafsi na Mungu wako.

Hahaha! Shabaaash!!!
 
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
Nani aliyekwambia ukiingia humu utakuwa umefungua hiyo swaumu yako? Mbona watu wengine mmekuwa watakatifu kuliko mitume wenyewe!!!

Basi acha kutumia hata barabara kaa ndani tu hata kazini usiende, maaana huku nje kuna mengi ya kufungulia swaumu kabla ya muda.
 
Nilidhani unakufuru kwa kusema unaondoka milele! Tangu nimejiunga JF sijawahi kuona mtu aliyeondoka kwa hiari labda kifo. Hata ambao siku zote waliondoka kwa kuaga hawakuweza kuvumilia kuiacha JF walau kwa saa 24! Wengine huona aibu na kubadili IDs. Hata wewe unaweza kuwa unaaga kutotumia ID ya mandieta kwa mwezi huu lakini utaendelea kuwepo kwa zile IDs zingine!
Hana lolote zaidi ya kujitangaza tu.
 
Ili kuhakikisha kwamba mwezi mtukufu unakua salama kwangu na kwa members wengine wa jukwa hili,naondoka kwenye jukwa hili kwa muda na ntarudi baada ya mwezi wa ramadhani kwisha inshaallah!

Na nikionekana nimerudi naomba Mods mnipige ban ili kuninusuru na kuharibika kwa swaumu yangu na ya member wengine.

Sipo tayari kupata au kumsababishia mtu ban ambapo inawezekana ata swaumu kwa mfunguji ikaharibika kwa sababu za kisiasa.

Wabilah tawfiq.
Aslm aylkm.
Mods wabadili sasa waweke utaratibu mpya,badala ya ban,unapigwa fine ya kiasi flani cha pesa.Na usipolipa unaendelea na mapumziko yako.Unadhani ni rahisi kufuatilia member mmoja mmoja kati ya maelfu waliomo humu?
 
Poa mkuu, mungu akuongoze ktk funga yako. Inshaallah tukutane mwezi wa nane
 
Nyie ndugu zangu huwa hamufungi ila mnabadili tu masaa ya kula.Je daku mnakula saa ngapi?

Ona sasa si siku mpya hiyo?Au
 
Swaumu huweza kuharibika iwapo mfungaji atafanya yafuatayo:
1: kula ama kunywa kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
2: kuingia ama kuingiliwa kimapenzi kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
3: kutoa mbegu za uzazi/ kwa makusudi baada ya kuchomoza kwa jua.
4: kuharibu funga ya mwingine kwa makusudi.
kwa hiyo ndugu zangu kuingia jamii forum ukiwa na nia njema hakuwezi kuharibu funga ya mwislam awaye yote yule. kawadanganye watoto wenzio.
 
Back
Top Bottom